The prince 004
Member
- Aug 17, 2012
- 16
- 1
wadau mimi nimechaguliwa chuo kikuu mlimani. Chaajabu nimeomba mkopo lakini nimepewa zero kabisa yani kwa ufupi ni hata hela ya kula wameninyima. Hapa nilipo familia tunamtegemea mama na nina wadogo zangu nao wanahitaji kusoma kwa hiko kitu kidogo anachopata mama. Sasa najiuliza kwamba juhudi zote pamoja na kumaliza shule kwa shida mwishowe ndo nimenyimwa mkopo kabisaaa. Hapa nimechanganyikiwa hata sijui nifanyeje nimeenda bodi ya mikopo hata ndani sikuruhusiwa kuingia. Sasa nifanyeje au labda nitumie ujuzi niliopata jkt kufanya yasiyofaa niweze kwenda chuo maana ndo kilichobakia. Sio siri Tanzania ni nchi yangu lakini kwa hali waliyoniweka hawa watu naichukia mpaka kufa daah