Hivi hii bodi ya mikopo wana maana gani?

Pole sana kaka,ccm hamna cha kutueleza 2015 kwa madudu haya kwani huyo waziri si ajiuzulu tu kashindwa anyooshe mikoni game ngumu msije mkafanya dhambi ya kuiba kura itakula kwenu hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…