Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,584
Kuna mambo ambayo kwa harakaharaka kwa akili ya kibinadamu ukijiuliza unakosa majibu!.
Ukijaribu kuzunguka almost dunia nzima utagundua kuwa hii falsafa ni pana na bila shaka ina maana pana zaidi kwani kwa harakaharaka ungeweza kuwaza yakuwa mwanaume ndiye angepaswa avae gauni na mwanamke avae suruali kwani yupo katika hatari kubwa ya kubakwa, kuchunguliwa au kudhalilishwa akiwa amevaa gauni kiurahisi za kuliko akivaa suruali.
Au walifanya hivyo kwa nia mbaya ili kuwatumia kama chombo cha starehe wanawake ili waweze kuwachungulia, kuwadhalilisha na hatimaye kuwabaka kiurahisi?
Katika baadhi ya mabara kama bara hindu na Asia utaratibu wao ni wa kanzu lakini piga ua ndani atavaa kinachofanana na suruali na wanawake watavaa gauni au kinachofanana na gauni!!
Wanawake wa miaka ya sasa hupendelea kuvaa suruali zaidi kupita gauni kwani hujisikia huru kukaa, kutembea na hata kucheza huru zaidi wakiwa wamevaa gauni au skirt, ila kiuhalisia katika hao huwezi kumkosa na gauni au skirt moja hii ni wazi kwamba haya ndio mavazi yao!.
Wewe unawaza nini kuhusu falsafa hiyo ya mavazi na je inakuathiri vipi na kukufaidisha vipi?
Ukijaribu kuzunguka almost dunia nzima utagundua kuwa hii falsafa ni pana na bila shaka ina maana pana zaidi kwani kwa harakaharaka ungeweza kuwaza yakuwa mwanaume ndiye angepaswa avae gauni na mwanamke avae suruali kwani yupo katika hatari kubwa ya kubakwa, kuchunguliwa au kudhalilishwa akiwa amevaa gauni kiurahisi za kuliko akivaa suruali.
Au walifanya hivyo kwa nia mbaya ili kuwatumia kama chombo cha starehe wanawake ili waweze kuwachungulia, kuwadhalilisha na hatimaye kuwabaka kiurahisi?
Katika baadhi ya mabara kama bara hindu na Asia utaratibu wao ni wa kanzu lakini piga ua ndani atavaa kinachofanana na suruali na wanawake watavaa gauni au kinachofanana na gauni!!
Wanawake wa miaka ya sasa hupendelea kuvaa suruali zaidi kupita gauni kwani hujisikia huru kukaa, kutembea na hata kucheza huru zaidi wakiwa wamevaa gauni au skirt, ila kiuhalisia katika hao huwezi kumkosa na gauni au skirt moja hii ni wazi kwamba haya ndio mavazi yao!.
Wewe unawaza nini kuhusu falsafa hiyo ya mavazi na je inakuathiri vipi na kukufaidisha vipi?