Hivi hii hali ikiendelea hivi baada ya miaka miwili itakuwaje?

Linamo

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2011
Posts
9,976
Reaction score
24,496
Hali si nzuri baba kikwete gombea tena tutakuchagua[emoji6]
 

Attachments

  • 1480446155628.jpg
    62.4 KB · Views: 46
Hali gani mkuu?umetuacha njia panda kama sikosei umetuacha segera
 
Hali si nzuri baba kikwete gombea tena tutakuchagua[emoji6]
Itafika wakati lazima hili suala litaingiliwa kati na wadau. Bodi ya wachumi sio wote wanaafikiana na ubanaji wa matumizi (momentary contraction). Tusubili uchumi ukidolola,budget ijayo ikiwa mbaya zaidi ya makadilio hapo ndio mwafaka utapatikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…