Ngoja tusubir labd wapo wengineHii inakutokeaga peke yako tu.
Kua ndege niwe Mwewe nikutafune
22yrsHow old are you?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
Ni hatua katika makuzi.. Ndoto za kutaka kufika mbali kimaisha na kuwa na mamlaka kwa kila ukitakachoInakuwaje wanajf, home of great thinkers.
Moja kwa moja katika mada.
Wadau sometimez huwa nikichili yananijiaga mawazo ya ajabu sana.
Sometimez huwa nawaonea gere sana ndege na yananijia mawazo ya kutamani kuwa ndege ili nipae juu nifurahi kwelkwel...
pia sometimes natamani kuwa samaki yani niogelee kwelkwel yani nifurahie maisha up to its climax point.
Ssa wadau hii inatokea peke yang au sipo peke yang na je inasababishwa na nn?
Kwenu wanajf View attachment 1863231
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unatumia ile kitu ya Arusha/Malawi tumia kistaarabu sana.
Siri ya kifo huijua afaeSubiri ukifa ndo hisia unazopata Ni Kama vile unapaa
Duh! noma sana, ni tatzo ama si tatizo?Ni hatua katika makuzi.. Ndoto za kutaka kufika mbali kimaisha na kuwa na mamlaka kwa kila ukitakacho
Kvp mkuu?Kama binadamu tuna mapungufu,Lakini kwa upande wako bado unahitaji kujibidiisha zaidi.
Hahhhh, hpn mkuu huko cjafkiria badoSometimes unatamani uingie kwenye chungu cha mwanadamu wakukaange uliwe?
Hapana sio tatizo ni hatua katika makuzi kuelekea balehe ya pili
Ahsante, nashkur brother Mshana JrHapana sio tatizo ni hatua katika makuzi kuelekea balehe ya pili
Naomba kuongea na wadogo zangu wa kiume 18-30years
Utu uzima dawa! Mnakopita sasa sisi tulishapita salama, lakini kuna uhitaji wa kukumbushana machache, kupeana mbinu na kutiana moyo pia (hapa kwa sehemu hata wadogo zangu wa kike watahusika). Naongelea mabadiliko ya makuzi kihomoni, kimtazamo, kimahusiano na kifikra pia. Kwanza lazima...www.jamiiforums.com