Hivi hii ikoje kwenu?

Wanakutana sana tu hata juzijuzi wengine walifanya party ya new year
 
Mods hawana ulazima wa kuwepo ktk hili.
"Acheni kwanza nijipange then nitaandaa tafrija ya kiasi na kuivite baadhi ya wana MMU"
we fanya tu ila watakaokuja hawatajitambulisha wao ni kina nani
 
we fanya tu ila watakaokuja hawatajitambulisha wao ni kina nani

Nilikuwa natishia kufanya kumbe huwa inatokeaga kweli.
Lakini lengo ni kujuana na bila ya kujitambulisha = 0
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…