Hivi hii kamati ya maridhiano ya kitaifa inataka watanzania turidhiane kuhusu mgogoro gani?

Hivi hii kamati ya maridhiano ya kitaifa inataka watanzania turidhiane kuhusu mgogoro gani?

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Kiukweli binafsi sielewi hii kamati ina umuhimu gani kwa taifa hili naona kama ni kajitaasisi ulaji kameundwa ili kulinda maslahi ya watu Fulani hivi.

Watanzania tunataka kuridhiana kuhusu kitu gani?
 
Back
Top Bottom