Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Kiukweli binafsi sielewi hii kamati ina umuhimu gani kwa taifa hili naona kama ni kajitaasisi ulaji kameundwa ili kulinda maslahi ya watu Fulani hivi.
Watanzania tunataka kuridhiana kuhusu kitu gani?
Watanzania tunataka kuridhiana kuhusu kitu gani?