Hivi hii kampeni ya Jazwa Ujazwe ya Mtandao wa Tigo ina ukweli wowote?

Hivi hii kampeni ya Jazwa Ujazwe ya Mtandao wa Tigo ina ukweli wowote?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Naomba yeyote aliyeongezewa muda wa maongezi au MB kama mpiga debe wao Joti anavyotangaza hadharani aniambie, nafahamu kwamba ukiongeza muda wa maongezi unaletewa sms ya kwamba umepewa MB kadhaa, sasa kiuhalisia ukiacha hiyo SMS kuna kweli wa hizo MB na unazionaje na zinaishaje?

Nimeuliza kwa vile baada ya uchunguzi mdogo nilioufanya sioni chochote zaidi ya muda wangu nilioulipia na wala sioni hizo MB za ziada (niko tayari kusahihishwa )

NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO
 
Naomba yeyote aliyeongezewa muda wa maongezi au MB kama mpiga debe wao Joti anavyotangaza hadharani aniambie, nafahamu kwamba ukiongeza muda wa maongezi unaletewa sms ya kwamba umepewa MB kadhaa, sasa kiuhalisia ukiacha hiyo SMS kuna kweli wa hizo MB na unazionaje na zinaishaje?

Nimeuliza kwa vile baada ya uchunguzi mdogo nilioufanya sioni chochote zaidi ya muda wangu nilioulipia na wala sioni hizo MB za ziada (niko tayari kusahihishwa )

NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO
mkuu kwahiyo unataka kujazwa
 
Naomba yeyote aliyeongezewa muda wa maongezi au MB kama mpiga debe wao Joti anavyotangaza hadharani aniambie, nafahamu kwamba ukiongeza muda wa maongezi unaletewa sms ya kwamba umepewa MB kadhaa, sasa kiuhalisia ukiacha hiyo SMS kuna kweli wa hizo MB na unazionaje na zinaishaje?

Nimeuliza kwa vile baada ya uchunguzi mdogo nilioufanya sioni chochote zaidi ya muda wangu nilioulipia na wala sioni hizo MB za ziada (niko tayari kusahihishwa )

NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO
Ubaya wa Tanzania kila Mtandao wa Simu unalalamikiwa tu na hakuna ulio na Unafuu, hivyo nadhani sasa ni wakati wa Kuwashtakia tu kwa Mola.
 
Siyo kweli, kama ungekuwa umenunua salio au MB lazima ungepata taarifa.
Taarifa ya sms inakuja nilichokuwa nataka ni kuona hiyo nyongeza , kwa vile kupewa taarifa ni jambo moja lakini uhalisia ni jambo jingine
 
Taarifa ya sms inakuja nilichokuwa nataka ni kuona hiyo nyongeza

Nyongeza ukiangalia salio unaiona pia, I can bet umeandika tu thread bila kufanya uchunguzi wowote kama ulivyosema.

Ukute hata hutumii line ya tigo.
 
Back
Top Bottom