we dont have to give in so easily coz you will dump us so easily.
Pili tunapenda kuonyesha kuwa, sio wewe wa kwanza kuona kuwa mimi nina stahili kupendwa kuna mwingine alishanipenda hata kama hayupo.
Tatu ni kwamba Labda niliye naye kwasasa hayupo serrious sana na nimekua namvumilia nikisubiri kama kuna mwingine atakuja on the way, ulipokuja wewe nilisita kwanza ili nione how serious you are. will you continue chasing after me?
Nne inaweza ikawa ni issue ya ndoo na kidumu. yaani ninaweza kuwa naye lakini nikiona wewe umekuja vizuri zaidi kisha nikamdump.
Halafu niseme tu kwamba ni vigumu kwa msichana mrembo wa 20 and over awe hana Boyfriend.
think I cannot exhaust the list of reasons.
mbona mimi niko over 20 na sina boyfriend acha uzushi wewe
mbona mimi niko ovre 20 na sina boyfriend acha uzushi wewe
we dont have to give in so easily coz you will dump us so easily.
Pili tunapenda kuonyesha kuwa, sio wewe wa kwanza kuona kuwa mimi nina stahili kupendwa kuna mwingine alishanipenda hata kama hayupo.
Tatu ni kwamba Labda niliye naye kwasasa hayupo serrious sana na nimekua namvumilia nikisubiri kama kuna mwingine atakuja on the way, ulipokuja wewe nilisita kwanza ili nione how serious you are. will you continue chasing after me?
Nne inaweza ikawa ni issue ya ndoo na kidumu. yaani ninaweza kuwa naye lakini nikiona wewe umekuja vizuri zaidi kisha nikamdump.
Halafu niseme tu kwamba ni vigumu kwa msichana mrembo wa 20 and over awe hana Boyfriend.
think I cannot exhaust the list of reasons.