Hivi hii ni kawaida, nahisi mwaka mwaka unaisha vibaya kwangu

message hujibu, simu hupokei !kulikoni wewe bidada?

ahh babu weeeeee pumu ennh mara ya mwsho ulipiga ln?we kaz zako azi kubp tu?ahh ebu kwendaga uko usilete pachu pachu zako apa watu wakafikiria kimeo changu kibovu..!!!!!!!
nakusubiri palepaleeeeeeeeeeeeeeeeee
 
mkuu hongera, you made a woman secret the most valuable juice in life
 
Nikupongeze pia kwa kumsitiri Gf wako, lakini pia usifanye uamuzi wak kubase kwenye single sexual act, hebu angalia kwa wiki nzima hivi je anaendelea ivo ama la?

na je pia hizo juices huenda ni kwa sababu amekuwa excited sana na ivi labda hamjakutana muda mrefu?
 
hay first lady hongera zako kwa kujua mashamsham dear tupe ma classs mwanawane......... wangosha waburudike.....
 
embu kwanza hapo kwenye red.......... wewe haufanyi mchezo mbaya na msichana mwingine???
mmmh inaweza kuwa hayo maji ni ya kwako na si ya mdada be care kaka:teeth:
 

duh, hiyo signature yako FirstLady! na women je???.......by the way naomba nikuulize FirstLady, mimi pia juzi nilifanya mapenzi na dada mmoja ambaye nilimkuta na hali kama hiyo. kiukweli nami niliunganisha 2 in 1, bao la kwanza ukeni kulikuwa na hali ya kawaida ila nilipounganisha la pili hali ikaanza kubadilika maji mengi yakawa yanatoka hadi kulowesha godoro, mimi nilijua labda itakuwa hakufanya mapenzi kwa muda mrefu hivyo kusababisha hali hiyo. Sasa kama ana matatizo mbona sijaona madhara yoyote kwangu hadi leo!!
 
mnh mbona sie tuliambiwaga uwe na kitaulo kidogo unakiweka chini ya mto-mkimaliza unajifuta na unamfuta huyo bwana???-kweli kabisa yeye afike kileleni na wewe ufike bado utarajie kuwe 'kukavu' kweli????....na hio two in one imeniacha hoi nilijuaga ni kwa wanawake tu ndio wanaweza kuwa na multiple orgasm kumbe na wanaume pia?????sasa inakuwaje inalala,inaamka inalala tena humo humo???ahhaahha mkuu acha ulafi....
hayo maji maji ni jambo la kawaida,ni swala la kimaumbile tu....inaonyesha mtu yuko exited and ready kwa tendo,huko zamani ulikuwa humuandai vya kutosha ndio maana alikuwa mkavu....afu kipindi cha miezi miwili mie kwangu ni kidogo sana kujua maumbile ya mtu,especially kwa mtu km wewe unayecome across huna uzoefu sana na wadada!...so i just think ndivyo alivyokuwa hapo mwanzo na ndivyo atakavyokuwa milele....deal with it!!!!kushiriki ngono na watu wengine hakumfanyi mtu awe na maji maji mengi ukeni,hili ni tatitzo la kimaumbile tu...she cant help it.......
duuh yaani umempiga maswali ukamwambia akaioshe na BADO MKAENDELEA NA TENDO?????? no wonder ulimkuta kavu baada ya hapo...hio ni put off tosha kwa mtu kama mie,atakuwa anawaza yale maswali uliyompiga,kuambiwa akaioshe...nk,sidhani km ni jambo la kiungwana kuendelea na mchezo baada ya hayo yote.....:embarrassed::embarrassed::embarrassed:
 

kama ulifanya JUZI imean day before y-day madhara bado utayaona baadae
 
Re: Hivi hii ni kawaida, nahisi mwaka mwaka unaisha vibaya kwangu
Kama anakula bamia, nyanya chungu na matango aache kabisa..


Na kama alikuwa hali pilipili aanze kula...........

Mhhhhhh Mashauri mengi, Pima kwanza kabla hujajaribu, mpaka wengine husema eti mkojo wako mtu ni TIBA!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…