Cytochrome p450
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,638
- 15,044
Huwa inanitokea na ni kawaida yangu kila ninapofanya vizuri au kufanikiwa katika jambo fulani, basi natafuta namna yeyote ile ya KUJIPONGEZA.
Vile vile nikiwa nimeharibu au kukosea kwenye jambo lolote ambalo nahisi sikustahili kuharibu, basi huwa natafuta namna yeyote ya KUJIPOZA.
Mfano: Nikifanikiwa huwa natafuta sehemu moja iliyotulia sana, kisha nashusha misosi ya nguvu pamoja na vinywaji. Hali inakuwa hivyo hivyo pale ninapozingua.
Hivi hii imekaaje wakuu, ni kwangu mimi Tu au ni kwetu sote?
Tuambiane pia, wewe huwa unafanya nini pale zinapotokea hali zote mbili?
Vile vile nikiwa nimeharibu au kukosea kwenye jambo lolote ambalo nahisi sikustahili kuharibu, basi huwa natafuta namna yeyote ya KUJIPOZA.
Mfano: Nikifanikiwa huwa natafuta sehemu moja iliyotulia sana, kisha nashusha misosi ya nguvu pamoja na vinywaji. Hali inakuwa hivyo hivyo pale ninapozingua.
Hivi hii imekaaje wakuu, ni kwangu mimi Tu au ni kwetu sote?
Tuambiane pia, wewe huwa unafanya nini pale zinapotokea hali zote mbili?