Hivi hii ni nini?

Papa Mopao

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2009
Posts
4,153
Reaction score
2,647
Mvulana akitokewa na msichana au akibigiwa simu na msichana moyo unashtuka paaa!! Hivi hii ni nini hasa?

NB: Hapo ni baada ya kufahamiana kwa kipindi kifupi.
 
moyo unaruka kichurachura siyo,
mambo ya love chemistry tu hamna zaid
 
Mvulana/msichana akitokewa na msichana/mvulana au akibigiwa simu na msichana/mvulana moyo unashtuka paaa!! Hivi hii ni nini hasa?

NB: Hapo ni baada ya kufahamiana kwa kipindi kifupi.
Daah! hiyo kwangu haipo huwa nashtuka tena sana tu nikipigiwa na mtu anayenidai, tena usiombe awe baba mwenye nyumba halafu muda umekaribia na mambo hayaeleweki. Tena unaweza kukuta tumbo linaunguruma kabisa au unabanwa na haja ndogo.
 
Mvulana/msichana akitokewa na msichana/mvulana au akibigiwa simu na msichana/mvulana moyo unashtuka paaa!! Hivi hii ni nini hasa?

NB: Hapo ni baada ya kufahamiana kwa kipindi kifupi.


msichana mvulana msichana mvulana...wala sjaelewa..nan akimpigia nan.....
 
FL na Rose1980! Nimerekebisha mada jamani, samahanini kwa kuwakwaza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…