kofia ya plastiki
JF-Expert Member
- Jun 9, 2019
- 416
- 405
Kwani lengo la kusoma hiyo bachelor yako lilikuwa ni lipi??
For survivalUnachoma chips kwa malengo gani?
Safi sana umejibu kisomi zaidi. Unaweza kuishi kwa sasa bila kuchoma hizo chips?For survival
HapanaSafi sana umejibu kisomi zaidi. Unaweza kuishi kwa sasa bila kuchoma hizo chips?
Nashukuru mkuu kwa ushauriTatizo sio kuchoma chipsi,tatizo ni malengo uliyonayo hatua kwa hatua.anzia na chipsi kwenda kumiliki kitu kikubwa zaidi
Nilisoma nikaelewa ndo maana nikakuuliza.Ukisoma uzi wangu vizuri hutoweza uliza ili swali
Hapo nimekupata Sawa sawaJiwekee Malengo mkuu, tunza hela, jaribu kuishi kama huna degree vile, jitahidi kuizungusha kila shilligi unayoingiza iwe na faida.Maisha ni safari na utajiri ni mchakato wenye kuhitaji muda ili uje uufaidi utajiri wako..
Kama unaweza kuishi kwa sababu ya Chips kwanini ukomae kwa cheti ambacho hakina msaada wowote kwako kwa sasa? Taaluma uliopata haikufanyi uwe VIP.Hapana
Hahaha ni kweli mkuu lakini yataka MoyoAjira hakuna wewe choma tu hizo chips hakuna namna
Vizuri Sana mkuu nimekuelewaKama unaweza kuishi kwa sababu ya Chips kwanini ukomae kwa cheti ambacho hakina msaada wowote kwako kwa sasa? Taaluma uliopata haikufanyi uwe VIP.
Kama umegundua chops inaweza kusogeza maisha yake kwanini uione kama kazi iliyo chini ya hadhi yako?
Fikiria kwa mara nyingine kipi bora kati ya pesa na hayo makaratasi ya sementi za Bamburi.
Una miaka mingapi tangu uzaliwe?Vizuri Sana mkuu nimekuelewa
KaziNilisoma nikaelewa ndo maana nikakuuliza.