kUNA TANGAZO HUMU LA PRECESION LINASEAM BE IN KIGOMA BEFORE THE TRAIN LEAVES DAR!
Hivi ni kwa nini wanafitini kashirika ketu ambako ndio tunakufufua ! Kwani nini wataje reli na wakijua reli ni moja tu TZ!
Wameua ATC na huku ambako sio mshindani wao jamani!
kUNA TANGAZO HUMU LA PRECESION LINASEAM BE IN KIGOMA BEFORE THE TRAIN LEAVES DAR!
Hivi ni kwa nini wanafitini kashirika ketu ambako ndio tunakufufua ! Kwani nini wataje reli na wakijua reli ni moja tu TZ!
Wameua ATC na huku ambako sio mshindani wao jamani!
kwani ni uongo? BE IN KIGOMA BEFORE THE TRAIN LEAVES DAR? hivi ulishawahi kupanda treni? unaondoka Dar saa 10 jioni Morogoro unaingia saa 5 usiku. HII NI KWELI TUPU
Kwa precision ambayo unaweza tumia hadi masaa 9 kufika kgm; bora hata ATC wangesema "be in Kigoma before you reach railway station".
Maana unaondoka kwako saa 10alfajiri, unafika mwanza saa 1 asbh, unasubiri kufaulishwa hatimaye Kigoma saa 9 mchana.