Hivi hii sulphurdar ni aina ya metakefini kwa wajawazito tu au?

Hivi hii sulphurdar ni aina ya metakefini kwa wajawazito tu au?

Top gun maverick

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2017
Posts
2,080
Reaction score
2,871
Habari wana JF!

Juzi niliamka nikawa najisikia dalili za malaria na nikaenda kucheki kwenye kituo cha afya na kukutwa na wadudu watatu hivyo doctor akaniambia unatumia dawa gani nikasema metakefini hivyo nikaenda pharmacy nakuulizia dawa ya metakefini nikapewa metakefini iliyoandikwa sulphurdar nikauliza mbona hii metakefini IPO tofauti na zile zingine yule nurse akaniambia ni aina mpya ya metakefini.

Sasa kwenda nyumbani kusoma vizuri lile box lake limeandikwa caution: for pregnant women only. Ikabidi nisimeze kwanza maana Mimi ni wa kiume, sasa naomba ushauli nikitumia hakuna side effect jamani?
 
Habari wana jf juzi niliamka nikawa najisikia dalili za malaria na nikaenda kucheki kwenye kituo cha afya na kukutwa na wadudu watatu hivyo doctor akaniambia unatumia dawa gani nikasema metakefini hivyo nikaenda pharmacy nakuulizia dawa ya metakefini nikapewa metakefini iliyoandikwa sulphurdar nikauliza mbona hii metakefini IPO tofauti na zile zingine yule nurse akaniambia ni aina mpya ya metakefini .sasa kwenda nyumbani kusoma vizuri lile box lake limeandikwa caution: for pregnant women only. Ikabidi nisimeze kwanza maana Mimi ni wa kiume .sasa naomba ushauli nikitumia hakuna side effect jamani
Wamekupiga mkenge japo zote zimetengenezwa na mchanganyiko unaofana sulphadoxine pyrimethamine, ila Sulphadar na Metakelfin ni brand mbili tofauti. .. Wengne huzungka na kusema metakeflin ya Tz na metakelfin ya Kenya. Japo zote mbili lengo lake ni kwa wajawazito
 
Doctor angekufahamisha zaidi , sulphadar ni fansider ya Tz na orodar ni fansider ya Kenya. Kama SP ni kwa ajili ya wajawazito tu doctor angekujulisha
 
Wamekupiga mkenge japo zote zimetengenezwa na mchanganyiko unaofana sulphadoxine pyrimethamine, ila Sulphadar na Metakelfin ni brand mbili tofauti. .. Wengne huzungka na kusema metakeflin ya Tz na metakelfin ya Kenya. Japo zote mbili lengo lake ni kwa wajawazito
kwa hio metakefini hazifai kwa men
 
Doctor angekufahamisha zaidi , sulphadar ni fansider ya Tz na orodar ni fansider ya Kenya. Kama SP ni kwa ajili ya wajawazito tu doctor angekujulisha
kwa hio Mimi men metakefini nimekuwa nikitumia kwa muda mrefu sana INA maana hazifai kwa wanaume au kuna effect gn mkuu
 
Kama inakutibu haina shida ila sulphadar uliyopewa sio metakelfin ni fansider ambayo ina sulphar kuliko metakelfin
 
Back
Top Bottom