Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

Mm huwa nahisi tulikosea sana kama nchi kwenye suala elimu ya kiingereza cha kuongea kwa ufasaha katika mitaala yetu ya elimu....cha kusikit uisha zaidi kwenye ajira mara nyingi anayejua kuongea kingereza vizuri...anapewa kipaumbele kwenye mambo mengi ikiwkuajiriwa au kupanda
cheo. ..hasa kwe n ye makampuni binafsi...yaani shule chekechea na msingi unasoma kwa kwa kutumia kishwahili ghafla sekondali unakutana na kingereza. Wengi wanaoimudu vizuri lugha hii walianza kuisoma chekechea..
 
Shida kubwa katika awamu hii ziara zote wako na kamera live na msururu wa waandishi wa habari,heri wa mute picha bila Sauti.
 
Mbona kama me pia nimeguswa na mtoa mada. Umecopy alichosema wewe ukaandika, kuna tofauti ya your na you’re, take care. Uyo yeye kashakuwa Professor na ana wadhifa. Me na wewe tuendelee tu kujenga Taifa hii kitu haitatusaidia.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wazungu mbona wanaongea wrong Swahili na hatuwacheki, why sisi tukikosea tunasemana? Tuwe wazalendo. By the way kama prof. Anaongea hivyo jee kwa hao tunaowatoa kwenye kiswahili miaka saba then miaka minne kwenye kingereza? Hii niadhabu. Tuchague lugha moja ya kutumia kufundishia bila hivyo tutasemana tu na wasomi wa aina hii wataendelea kuwepo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Negative impact yake nini? Prof. Kukizungumza English fluently ina impact gani mbovu kwenye wizara yake anayoisimamia?
Ni Utendaji kazi ndo unasimamia majukumu yake au kingereza?

Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni kutetea ujinga!! Hivi mlikwenda shule kujifunza kuongea kiingereza kibovu? Call a spade a spade Period!! Mnatuabisha!! Ingekuwa Tanzania ni Francophone au Ex Portuguese colony ningeelewa. Profesa mzima anaongea kiingereza kama Shilole au Steve Nyerere mnatetea?? You are horrible

Nina doubt hata hilo Baraza la Senate lililo mpitisha daraja kuwa Profesa.
 

Ndalichako kaongea Kiingereza kwa sababu alikuwa alimgeukia mtu anayezungumza Kiingereza tu( maybe na Kichina)
 
Sasa kama hilo walifahamu shida nini!?



Shida inakuja kwamba wenzake wanajua kiingereza kwa muda huohuo ambao yeye alikuwa shuleni, chuoni nk, hivyo yeye hana kipaji cha kiingereza.
 
Shida inakuja kwamba wenzake wanajua kiingereza kwa muda huohuo ambao yeye alikuwa shuleni, chuoni nk, hivyo yeye hana kipaji cha kiingereza.
Hiyo sasa siyo shida. Ndo Mungu alivyomuumba.
 
Kizungu ni lugha gani? Au unamaanisha wazungu wote wanaongea lugha moja!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo sasa siyo shida. Ndo Mungu alivyomuumba.


Ni shida, kwani mtu akizaliwa kipofu au kiziwi hiyo siyo shida kwakuwa Mungu kamuumba hivyo??, hata kama shida siyo kwake lakini ni shida kwa wengine, au huelewi hiyo mantiki??!!.
 
We umesema unaonge Kiitaliano sasa yeye hapo kaonge Broken English na vocabularies za kutafuta wa torch

Kaongea broken gani hapo, mimi nimeona kosa lipo kwenye “on” badala ya “in”
Ishu ya vocabulary ni suala la umespend muda gani unaongea Kiingereza, kwa mazingira ya Tanzania ni ngumu sana mtu
kuwa na mavocabularies mengi mengi.
Na ujue vilevile hakuna kitu kigumu kama hizo prepositions. I do consider myself as a fluent English speaker, but I am always facing the same problem.
 
Tuna maoni tofauti lakini mimi hainiingii akilini upate Phd kwa kutumia Kingereza halafu kikupe shida kiasi kile.
 


Na umesahau vilevile kwamba tupo vizuri kwenye Kiswahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…