Hivi hili nitatizo

makomimi

Member
Joined
Sep 28, 2011
Posts
35
Reaction score
5
Tangu nimeanza mahusiano sijawahi kabisa kupenda ila nasikia watu wanalalamika kuhusiana na mpenzi wengine wanafikia hatua ya kujiua kwasaabu ya mapenzi. Huwa najiuliza nikipi hasa kinamfanya mutu ajiue kwasaabu ya mapenzi? yani mpaka leo sijapata jibu. Sasa nina umri wa miaka 30 na mapenzi nimeanza nikiwa na umri wa miaka7, tangu kipindi hicho mpaka leo sijawahi kufeel love yaani kuwa special kwaajili ya mtu au kumfanya mtu kuwa special kwa ajili yangu. so nauliza hili ni tatizo au?
 

Kwanza hukuanza mapenzi una miaka saba sema ulianza ngono ukiwa na miaka 7.
Kimsingi tatizo lako ni kubwa sana -(Kwamba unatembea bila kuwa na moyo) Yaani mpaka sasa nashangaa kwa muda wote huo umewezaje kuishi.!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Go straight kwa mtaalamu bingwa wa magonjwa ya akili.Sitanii
 

Eish! kwani ana gonjwa la akili??!!
 
Baki hivyo hivyo n as mata of fact u shud b grateful.
 
Eish! kwani ana gonjwa la akili??!!

Kama unaweza kuwa na mahusiano ya ngono kwa miaka 23 na wasichana (yeye anaita mapenzi),halafu hujawahi pata hisia zozote za kumpenda japo mmojawapo (wengine mpenzi wa kwanza tu pasua kichwa) ni tatizo kubwa lainaloanzia kwenye ubongo.

Ubongo unahitajika kuwa activated kwanza kabla ya counseling yeyote.Sitanii
 
Pray to god that you have encountere love. The funniest feeling intilled in human instincts. Confusing, Electrifieng, ....... If you have not yet felt it, very soon you will run back to JF asking for advice. Goodluck.:hat:
 

Mshukuru mungu kwa hiilo coz unabahati ya mtende
 
U cant imagine, was criyng few hourz ago..mapenz yanaumiza jamani mweh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…