Hivi hili penzi linachakachuliwa ? advice pls

Dah Rose we mtata kweli kweli. Umefikaje huko?
Au una kapiriensi na hii maneno?!

ndo manake...mbona nikiwa na wewe huwa navuta hisia za murra ili twende sawa?
hausikiagi nakuambia we murrrah nikege vzur wakat we unaitwa mwta maranya?
 
ndo manake...mbona nikiwa na wewe huwa navuta hisia za murra ili twende sawa?
hausikiagi nakuambia we murrrah nikege vzur wakat we unaitwa mwta maranya?

Duh, hata macho yako tu hapo kwenye avator yako yanadhihirisha ulivyo mkali. Kwangu mimi sina haja ya kushangaa. Anyway, nimeingilia mlango wa nyuma, ila msijali...
 

FL1 huu mkasa ni wako mwenyewe au???????? Sema ukweli, mbona nasikia ni wewe??????? Kama ndivyo, basi, naweza kukupa ushauri unaokufaa zaidi ya hapa!!!
 
Anaweza akawa mtaalam kuliko hata huyo mwizi la mapenzi ya mbal yakamfanya jamaa awe karibu sana na huyo dem mwingine kiasi kwamba kila mara anakuwa nae anaenda kula nae sometime wanalala wote kwa hiyo anajkuta amezoea kumwita sana huyo msichana mwingine jina lake na ndio maana anajkuta anamwita hata yeye

ushauri wangu ajarbu na yy kumwita jina lingine kama walivyosema hapo juu then akja juu ndo aanze kumwelewesha amwambe unavyojsikia yeye ndivyo hivyo navyojisikia unaponiita fulani, sasa amwambie azidishe huo uchungu mara mia moja sababu yy kamwita mara moja wakati yy alitwa mara kibao. pa ajaribu na kumstukiza maraa kwa mara yaan aende bra taarfa kumtembelea. Na pia achunguze isijekuwa huyo anaemwita n dada ake tu.
 
FL1 huu mkasa ni wako mwenyewe au???????? Sema ukweli, mbona nasikia ni wewe??????? Kama ndivyo, basi, naweza kukupa ushauri unaokufaa zaidi ya hapa!!!

PMNBko unasikia ni mie nani huyo alokwambia ni mie Geeeeeeeeeeeez
Nimeolewa mie sina mchumba bana !hivi unadhani mme wangu aniite mie Rose1980 ni lazima aandae majibu ya kunikabili .
Ila ni ndugu na jamaa wa karibu wewe toa tu ushauri nasaha ukifananisha kama ni FL kwani ndie mtoa mada
angalia signature yangu:hungry:
 


Asante Dinner kwa ushauri mzuri noted with thanks
 
ndo manake...mbona nikiwa na wewe huwa navuta hisia za murra ili twende sawa?
hausikiagi nakuambia we murrrah nikege vzur wakat we unaitwa mwta maranya?

Thubutuuuu, ukikosea tu ukataja jina tofauti na langu panachimbika kweli.
Nitakugecha mpaka uniambie huyo murra ni nani, na ulifahamiana nae vipi, wapi na inakuwaje wakati uko na mimi umtaje.
Ila hilo konyezo lako linawamaliza wengi!!:sick:
 

Jokes.
 
Thubutuuuu, ukikosea tu ukataja jina tofauti na langu panachimbika kweli.
Nitakugecha mpaka uniambie huyo murra ni nani, na ulifahamiana nae vipi, wapi na inakuwaje wakati uko na mimi umtaje.
Ila hilo konyezo lako linawamaliza wengi!!:sick:

na wewe nakumaliza?
 
Duh, hata macho yako tu hapo kwenye avator yako yanadhihirisha ulivyo mkali. Kwangu mimi sina haja ya kushangaa. Anyway, nimeingilia mlango wa nyuma, ila msijali...

hahhah hahahh!
kesho uingilie mlango wa mbele sawa?
 
hapa panaweza kujimbika na ndoa ikavunjwa ...Noted Mbu ushauri wote utamfikia mhusika
ni bora pachimbike mapema kabla hawajaanzisha family wasije kuwatesa watoto baadae FL1
 
duh hayo ni majaribu!inabidi azidi kumwomba Mungu awaongoze yeye na mchumbake ili hilo tatizo life kabisa,ikishindikana basi ajue huyo sio ubavu maana ukiforce mambo badae ndoa inakuwa chungu!ni bora kupata mume mwema kuliko ndoa tu!
 
duh hayo ni majaribu!inabidi azidi kumwomba Mungu awaongoze yeye na mchumbake ili hilo tatizo life kabisa,ikishindikana basi ajue huyo sio ubavu maana ukiforce mambo badae ndoa inakuwa chungu!ni bora kupata mume mwema kuliko ndoa tu!

Lynn Lutag
Join Date : Tue Feb 2011
Posts : 1


karibu mgeni
 
Ushauri kwa huyo hubby to be.......
Awaite wanawake wote kwa jina moja tu......honey! au sweetheart! au darling!.....
 
Mtu hunena kiujazcho moyo wake! Hivyo hilo jina limetoka moyoni na ni la mpenzi aliyejaa moyoni mwake! Pole zake huyo mdada! Au na yeye ajifanye amekosea aite jina jingi "Hamis" " Jose" etc aone reaction ya jamaa yake itakuaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…