Hivi hizi ajira 5000 za waalimu ni zinazozungumziwa ni zipi!?

Hivi hizi ajira 5000 za waalimu ni zinazozungumziwa ni zipi!?

Komando tamimy

Senior Member
Joined
Nov 18, 2020
Posts
108
Reaction score
121
Habari wana jamvi.

Kwa bahati nzuri mimi ni mdau mkubwa elimu nimefurahishwa sana ujenzi na ukarabati wa mashule unavyoendelea kwani nina hakika vijana wengu watapata elimu katika mazingira bora.

Jana kwa bahati nilimshuhudia Mhe Rais akizindua ujenzi wa ihungo secondary na veta.

Kwa hili hstuna budi kumpongeza Rais.Hakuna aliemkamirifu, lakini katika hotuba zote 2 nilimsikia mhe Rais anasema zili nafasi elfu tano zimeshatangawzwa akimaanisha watu waombe lakini mpaka sasa maagizo hayo ya Rais hayajatekekezwa.

Tumeona jana Rais akisema wanafuzi wanakaa chini na madarasa hakuna,Ghafla ujenzi wa madarasa umeanza na uchongaji wa madawati kwa ajili ya wanafunzi.

Tunashukuru Muumba kwa kauli ya Rais, Kauli ya Rais kwamba wametangaza ajira 5000 wakati hazijatangazwa nawaziri Jafo akiwa mbele ya Rais tunaweza kusema TAMISEMI ina mdanganya Rais.

Kwa sababu ajira hizo tamisemi hawajatangaza. TAMISEMI watuambie lini watawangazia hizo ajira
 
Na nyie mnaosubiri ajira za walimu mmekuwa kero hapa jamvini! Jiajiri kaka hizo ni siasa hakuna ajira,ebo!
 
Watufungulie dirisha tubashiri mapema ili nao wapate muda mwingi wa kufanya uchambuzi na kupanga vituo vya kazi!
 
Watufungulie dirisha tubashiri mapema ili nao wapate muda mwingi wa kufanya uchambuzi na kupanga vituo vya kazi!
wewe utakua ndio umemaliza chuo, ajira zilitangazwa alfu 13 bahati zikatoka alfu 8 kwahiyo bado alfu tano ambapo tayari watu walishaomba kitwmbo
 
Mkuu vipi...ulishawahi kujitolea kwenye shule yoyote..kama hapana subiri awamu nyingine.
 
Mkuu vipi...ulishawahi kujitolea kwenye shule yoyote..kama hapana subiri awamu nyingine.
Kwani kujitolea ndo kupata ajira? Mbona wale 8000 walioajiriwa hawakuzingatia kigezo Cha kujitolea? Pia walimu waliojitolea waliachwa kwenye mataa wanashangaa tu.
 
Back
Top Bottom