UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,885
Ninapokwenda kokote au ninapokua nchi yeyote hasa kwenye mikusanyiko mikubwa ya huwa kuna hisia unijia na zinaniogopesha sana na kujikuta nashindwa kumaliza nilichokua nikikifanya.
Hisia hizi ni kuwaza tukio la kigaidi mfano kuibuka kwa mlipuko wa shambulizi linalotokana na BOMU au watu kuuliwa kinyama kwa uvamizi wa alqaeda,alshabab au tukio lolote linalo pelekea MASSACRE kutokea sehemu niliyopo.
Ni nini kinapelekea kuwaza hivi, ni kipi unifanya niwe na mawazo haya sababu inanifanya nakua muoga na mashaka sana sababu nakosa amani hasa napokua kwenye mikusanyiko ya watu wengi.
Ushauri waungwana hii kitu inaninyima ata kuudhulia matukio muhimu ya kijamii na ata nikiuzulia uwa nakosa amani na kupoteza umakini kabisa.
Hisia hizi ni kuwaza tukio la kigaidi mfano kuibuka kwa mlipuko wa shambulizi linalotokana na BOMU au watu kuuliwa kinyama kwa uvamizi wa alqaeda,alshabab au tukio lolote linalo pelekea MASSACRE kutokea sehemu niliyopo.
Ni nini kinapelekea kuwaza hivi, ni kipi unifanya niwe na mawazo haya sababu inanifanya nakua muoga na mashaka sana sababu nakosa amani hasa napokua kwenye mikusanyiko ya watu wengi.
Ushauri waungwana hii kitu inaninyima ata kuudhulia matukio muhimu ya kijamii na ata nikiuzulia uwa nakosa amani na kupoteza umakini kabisa.