Hivi hizi mvua tunazitumiaje pamoja ya Kuwa zinaleta madhara?

tatizo zinakuja ghafla, tunakuwa hatujajipanga
 
Lakini tunautayari wowote kama nchi kuzitumia ! Nadhani kuna haja ya kulifanyia kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…