Tareq20
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 322
- 977
Naona matumaini ya kupata huduma za Starlink za Elon Musk zinaweza zikawa zinakwamishwa kwa makusudi sio na Nape tu bali na wakubwa na inaweza ikawa ni Kwa maslahi binafsi juu ya hizi kampuni za kinyonyaji tulizonanzo.
Angalia video hii uone maswali yanavojibiwa daaah tuna Safar ndefu sana !!!
Angalia video hii uone maswali yanavojibiwa daaah tuna Safar ndefu sana !!!