Hivi huduma za Starlink za Elon Musk tutazipata kweli Tanzania?

Tareq20

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
322
Reaction score
977
Naona matumaini ya kupata huduma za Starlink za Elon Musk zinaweza zikawa zinakwamishwa kwa makusudi sio na Nape tu bali na wakubwa na inaweza ikawa ni Kwa maslahi binafsi juu ya hizi kampuni za kinyonyaji tulizonanzo.

Angalia video hii uone maswali yanavojibiwa daaah tuna Safar ndefu sana !!!

Your browser is not able to display this video.
 
Inchi ya kisenge hii sku moja zone zipigwe tu wote tuanze upya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…