Nilikuwa huko mjini Twitter nikakutana na hizi picha kutoka kwa ndugu zetu wa pembe ya Afrika. Nimestaajabishwa na hayo mapesa.
Je shida ni sarafu kukosa nguvu au shida ni gani wadau?.
Je shida ni sarafu kukosa nguvu au shida ni gani wadau?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jombaa, shilingi moja ya Somalia ni sawa na shilingi nne za Tanzania. 1 SO Shilling- 4 TShs. (1$- 567 SOS)Hizo pesa zote ulizoona kwenye hiyo video, ukija Bongo unapeleka kwa mama wauza mihogo unawauzia kama kuni halafu Wanakupa elfu kumi.
Kwani alshababu bado Wana nguvu somaliaSomalia pesa ni nyingi na risasi pia ni nyingi na kutekwa pia kwingi.
Hakuna vita huko?Wapo vizuri...
Jombaa, Somaliland kuna amani ni eneo ambalo lilijitenga na nchi ya Somalia tangia vita viibuke Somalia mwaka wa 1991. Ila bado hawajapata 'recognition' rasmi kama nchi. Wenzao wakipigana wao walikuwa wanajiendeleza na wakimbizi wa kisomali walikuwa wanakimbilia 'nchi' hiyo, kwasababu wao hawakuguswa na vita hivyo.Hakuna vita huko?
🤔...nataka nianzie Kilwa Kisiwani kwanza halafu ndio nifikirie kwenda huko.Kuzuri sana kule kuna hoteli na sehemu nzuri sana za kiutalii