The professional
Member
- Apr 11, 2013
- 59
- 98
- Thread starter
-
- #101
Unataka kuniambia insta hakuna ambao wanajipost kama walivyo bila editing?Kwani instagram kuna mbaya?
Instagram kila msichana mweupe, ana tako, mrefu, hana upele wala utanga tanga, n.k.
Ebu watafute mkuu kama wapoUnataka kuniambia insta hakuna ambao wanajipost kama walivyo bila editing?
The Professional
Hapo umeongea sasaHumu tupo wagumu tu so nenda insta tu kule huwa tanabadilika kuwa warembo.
Vinahusiana coz fursa anapelekewa Mr Van tuKua Mrs Van na mada husika vinahusikaje
Sasa umenijuaje mkuu....mi sijulikani mbonaNakutaka central!......nimepata taarifa kuwa wewe ndo wale watu wasiojulikana!!