Quinton Canosa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 1,224
- 1,250
Habari Jamii Forum dokta
Kuna ugonjwa unamuandaa mtoto wa kaka yangu nashindwa kuuelewa yaani anatokwa na mapele makubwa sehemu za kidevuni,kwenye mikono kwenye kisogo na hata kwenye paji la uso ni mapele makubwa sana yankuja na kuondoka na muda mwingine ngozi ya huyu mtoto inakakamaa saana anakuwa kama ametembelewa na konokono ngozi yake inavyong'aa nimekwenda hospitali wanasema hakuna kitu na siku za hivi karibuni mjoto lake la mwili linapanda mpaka 39c sasa sijajua tatizo nini hebu naomba na wewe msaada na kama kuna dawa unaifahamu naomba nijulishe
Kuna ugonjwa unamuandaa mtoto wa kaka yangu nashindwa kuuelewa yaani anatokwa na mapele makubwa sehemu za kidevuni,kwenye mikono kwenye kisogo na hata kwenye paji la uso ni mapele makubwa sana yankuja na kuondoka na muda mwingine ngozi ya huyu mtoto inakakamaa saana anakuwa kama ametembelewa na konokono ngozi yake inavyong'aa nimekwenda hospitali wanasema hakuna kitu na siku za hivi karibuni mjoto lake la mwili linapanda mpaka 39c sasa sijajua tatizo nini hebu naomba na wewe msaada na kama kuna dawa unaifahamu naomba nijulishe