Quinton Canosa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 1,224
- 1,250
Naumwa mlango wa kumezea chakula juu ya koo naamini sio matezi.. limenianza jana. Ni ugonjwa gani mkuu?Huko hospitali mlikokwenda wawape referral letter kwenda kwa mtaalamu wa ngozi dermatologist. Ikiwezekana kipande cha ngozi kikatwe na kupelekwa laboratory
asante mkuu ubarikiwe sana naona halii hii inajirudia tuHuko hospitali mlikokwenda wawape referral letter kwenda kwa mtaalamu wa ngozi dermatologist. Ikiwezekana kipande cha ngozi kikatwe na kupelekwa laboratory
mungu akubariki kakaKama allergy basi usiweke karanga ktk lishe ya mtoto.
Maziwa ya ng'ombe, karanga, blue band, na baadhi ya samaki husababisha allergy kwa baadhi ya watoto na kusababisha mapele, vijipu chungu, mafua, n.k.
Hospital ndio jibu sahihi.
Lakini kwa uzoefu watoto wengi sana wanasumbiliwa na allergy.
Kama hayo mapele yanatoa usaha inaweza kuwa infection.
ANGALIZO: Haya maelezo yangu siyo ushauri wa daktari.
Kama allergy basi usiweke karanga ktk lishe ya mtoto.
Maziwa ya ng'ombe, karanga, blue band, na baadhi ya samaki husababisha allergy kwa baadhi ya watoto na kusababisha mapele, vijipu chungu, mafua, n.k.
Ni kweli.Ni kweli, usimpe Maziwa ya Ng'ombe na Bidhaa zote zitokanazo na Maziwa, Samaki wa Baharini (Sea Foods), Karanga na Bidhaa zake.
Mtoto wangu alikuwa na Matatizo haya pamoja na Kikohozi kilichokuwa akiponi. Nilipompeleka Hospitali walinipa masharti hayo na nakuhakikishia AMEPONA kabisa,sasa ana miaka 16