Dar nakuunga mkono. Mimi naomba wana JF wote tuungane kuhusu hili. Si mara ya kwanza hawa askari wa jiji wanafanya hivi!.
Don't hold your breath! JF hatuna mpango na masuala ya jamii! Ingekuwa UFISADI, SIASA AU SHUTUMA ZA NGONO ungeona ambavyo tungechangamkia. Ndio maana wengi wanafungua thread kwenye Jukwaa la Siasa. Mia tatu kwenye siasa hapa kwako takhriban ishirini! Hatuna interest.
Zile ajira milioni moja sijui zimeyeyukia wapi, na wafanyakazi wengine ndo wanaendelea kupunguzwa
Huo ni ynyama na ushenzi na unyanyasaji usio mfano.
Nnnatoa mwito binafsi ya kuwa mkuu wa mkoa awajibike au awajibishwe mara moja na wakuu zake na akikataa kuwajibika wakikataa kumuwajibisha basi wananchi tuingie mitaani kuandamana kushikiza kuwajibishwa kwake.
You are right FM.
Binafsi nimenotice hicho (hiko?) kitu. JF masuala ya jamii hayana kipaumbele, ila SIASA.....ah, mahala pake. Na kwa wengine kama Mimi ambao hatufancy Siasa huwa tunaachwa nje most of the time. Inasikitisha, but well.............., we live to see.
Pumbavu sana nyie Mgambo,
Nyie Hamna akili kabisa, mnampiga mtu anatafuta riziki kwa jasho yake na mnawaacha Mafisadi wanatanua tu hapo Dar es salaam?
Maskini wewewee, mungelijua mnatumika kama chombo tu, Kama mnaweza kupiga na kushughulikia mambo mbona mnawaacha waliotuibia Fedha zetu Kibao, Kwani hamju yalipo maviwanda ya Patel?, amzijuzi shell za Alex masawe????
Kuweni na akili nyie, tumieni busara zenu kidogo, najua shule yenu sana sana ni darasa la saba ndo maana, ila tumieni hata akili ya kuzaliwa basi
Mimi nina hasira sana wana JF, yaani kuibiwa tunaibiwa na Viongozi, sasa tukipitisha karanga tunauza tunapigwa, hii ndo Tanzania gani sasa
..lizy,
..wajumbe wana uhuru wa kuchangia hoja wanazoona zinawavutia na kuwatia hamasa. sasa,mambo ya ufisadi si madogo. lakini hiyo haimaanishi haya mengine hayana maana. ni mtazamo wa mtu tu.
..wewe na fundi mnapochangia hili mnakuwa mko sawa kabisa! na wengine nao wako sawa pia,kwa kutochangia!