Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,849
- 3,506
Aiseee,
Yani sasa hivi hata thamani ya utu imepotea,
Naamini hata babu yako akiamka leo toka kaburini akute jinsi unavyo samabaratisha moyo wako kwa kuunda uongo uongo ndani yako ili mtu fulani aone jinsi unavyo mtukuza mtu ili tu ubahatike kujipatia kakitu fulani, aisee atarudi tena kusinzia kaburini
Atasema "fxxk this shxt, i didnt die for this"
Yani sasa hivi hata thamani ya utu imepotea,
Naamini hata babu yako akiamka leo toka kaburini akute jinsi unavyo samabaratisha moyo wako kwa kuunda uongo uongo ndani yako ili mtu fulani aone jinsi unavyo mtukuza mtu ili tu ubahatike kujipatia kakitu fulani, aisee atarudi tena kusinzia kaburini
Atasema "fxxk this shxt, i didnt die for this"