Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,053
- 3,259
sio kwa majibu hayo mkuuHuo ni utamaduni wa huko huko ulipooona mkuu.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Huo ni utamaduni wa huko huko ulipooona mkuu.
Miye muhenga , huo utaratibu umenikalia kushoto sana.Ivi hii style ya kumwagina maji mara matope , mara bia , mara soda , wakati wa kushereheka siku ya B.day/kuzaliwa ni nini maana yake na haswa utamaduni huu tumerithi kutoka wapi ? (Ulimbukeni wa tabia ).
Hahaaa.. Mkuu umenichekesha sanaKuna siku furaha ilibadilika huzuni nilimpa likibao lilio kusanya. Pua na mdomo mdogo wangu flan ivi wakike et nyokonyoko na mimaji ya ukoko.. hato sahau nauhakika