Hivi huu upande mwingine nao kunakuwa na mvi?

Hivi huu upande mwingine nao kunakuwa na mvi?

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
Sorry kwa swali kama litawaudhi naomba mnisamehe/kumradhi.

Wakati mwingine huwa nawaza katika maisha uzeeni huko mbele sijui itakuja kuwaje,sasa leo nimekaa katika kuwaza likanijia swali.

Katika mwili wa binadamu Mungu alituumba na kutuwekea kinga za ndani ya mwili na kinga za nje ya mwili.hapa tujikite hizi kinga za nje ambazo zinakinga baadhi ya viungo vya nje ya mwili kama pua,kidevu,masikio,mdomo ngozi na hata sehemu za siri.

Katika viungo hivi Mungu akavipa kinga (nywele)ambazo huzia baadhi ya maambukizi kwa njia mbali mbali.

Kwenye hizi nywele kadri siku/umri /miaka vinavyokwwenda hizi nywele hubadilika rangi, kwa upande wa kunakoonekana tunaona kabisa kama ni kichwani zinabadilika rangi na kuitwa mvi ,kama puani au kidevuni au mikononi nazo zinabadilika rangi kuwa nyeupe(mvi)
Sasa hapa nauliza huu upande mwingine(huku chini)hivi nazo hubadilika?

Samahanini kwa swali.
 
Sorry kwa swali kama litawaudhi naomba mnisamehe/kumradhi.

Wakati mwingine huwa nawaza katika maisha uzeeni huko mbele sijui itakuja kuwaje,sasa leo nimekaa katika kuwaza likanijia swali.

Katika mwili wa binadamu Mungu alituumba na kutuwekea kinga za ndani ya mwili na kinga za nje ya mwili.hapa tujikite hizi kinga za nje ambazo zinakinga baadhi ya viungo vya nje ya mwili kama pua,kidevu,masikio,mdomo ngozi na hata sehemu za siri.

Katika viungo hivi Mungu akavipa kinga (nywele)ambazo huzia baadhi ya maambukizi kwa njia mbali mbali.

Kwenye hizi nywele kadri siku/umri /miaka vinavyokwwenda hizi nywele hubadilika rangi, kwa upande wa kunakoonekana tunaona kabisa kama ni kichwani zinabadilika rangi na kuitwa mvi ,kama puani au kidevuni au mikononi nazo zinabadilika rangi kuwa nyeupe(mvi)
Sasa hapa nauliza huu upande mwingine(huku chini)hivi nazo hubadilika?

Samahanini kwa swali.
Ndio zinakuepo
 
Sorry kwa swali kama litawaudhi naomba mnisamehe/kumradhi.

Wakati mwingine huwa nawaza katika maisha uzeeni huko mbele sijui itakuja kuwaje,sasa leo nimekaa katika kuwaza likanijia swali.

Katika mwili wa binadamu Mungu alituumba na kutuwekea kinga za ndani ya mwili na kinga za nje ya mwili.hapa tujikite hizi kinga za nje ambazo zinakinga baadhi ya viungo vya nje ya mwili kama pua,kidevu,masikio,mdomo ngozi na hata sehemu za siri.

Katika viungo hivi Mungu akavipa kinga (nywele)ambazo huzia baadhi ya maambukizi kwa njia mbali mbali.

Kwenye hizi nywele kadri siku/umri /miaka vinavyokwwenda hizi nywele hubadilika rangi, kwa upande wa kunakoonekana tunaona kabisa kama ni kichwani zinabadilika rangi na kuitwa mvi ,kama puani au kidevuni au mikononi nazo zinabadilika rangi kuwa nyeupe(mvi)
Sasa hapa nauliza huu upande mwingine(huku chini)hivi nazo hubadilika?

Samahanini kwa swali.
Maswali ya kitoto!
Una miaka mingapi ya kuzaliwa ndugu?
 
Panabadilika mkuu, nishawahi kumshuhudia Bibi flan ,alikuwa Kama kichaa mda wote anasahula tu ,,, huko chini ni peupe pe
Sio kwamba ulipiga[emoji2960][emoji2960][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Pia unaweza kunyoa kiduku nimeongezea ili usitusumbue Babu zako na maswali ya kimbususu
 
Back
Top Bottom