Hivi Huu Wizi katika Mahospitali Umehalalishwa?

Hivi Huu Wizi katika Mahospitali Umehalalishwa?

hapo unakuta BIMA ndo wana liwa vizuri sana. so huwa wana pendekeza kutibia bima sana sana
 
Hiyo ni biashara kama biashara zingine waliogopa kukutajia jina la dawa huenda ungekwenda kununua sehem nyingine wakati wao wamefanya uchunguzi na kugundua dawa itakayo mfaa dogo
Pole lakini kama ulikuwa hujajipanga lazima utamaind tu
Unakosea mkuu. Hizo huduma za awali hajapewa bure. Kalipia file, consultation na vipimo so kuandikiwa dawa then aamue ni haki yake coz huduma hiyo alisha ilipia kwenye consultation fee.
 
umenikumbusha kuna kipindi nilienda hospital moja hivi ya wa hindi nikaenda kuelezea tatizo langu bwana we wakaenda kunipima fresh sasa kumbe utaratibu ni kama huo hapo juu hawakuonyeshi wewe ni kulipia na kuchukua dawa, sasa wakati niko kwa dokta akajisahau na kunipa kikaratasi alicho andika dawa ilikuwa na majibu ya vipimo vyote yani file mzee baba sikumbuki kama niliona dirisha ila nilijikuta duka la mtaani la phamarcy, maana nilipitiiza kama sio mgonjwa nikachukua boda huyo na sikulipa maana niliona kwa haraka haraka ni kama elfu 70,000 nikasema hapa wana hesabu mawe. nika nunua dawa zilikuwa za kama elfu 15,000 ila kule waliandika mazaga yote ni zaidi ya 70+
 
na pia huo ujinga uko KCMC walinilaza kwenye file wakaniandika drip 6 kumbe wameniwekea 3 kwaa jumlisha na madawa mengine niliona wesema amoxilini ni eflu 5300 wakati walinipa vidonge v3 tu aisee bili ilikuja kama laki na 30 nilitaka kuondoka bila kulipa sema ndugu na huruma ya relative nikato iliniuma sana
 
Kwa hiyo ile 20,000 ya kumuona Doctor inakuwa kama unalipia kuona sura ya doctor na sauti yake which means akikupa hata panadol ya kushusha homa au painkillers kule chumbani kwake ni additional cost [emoji1495][emoji1495][emoji1495][emoji1495]. Nikienda hapo hospital nitamwambia doctor wala asiniguse maana nimelipia 20,000 kwa ajili ya sura yake kuitazama [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Suala la afya watu tunapigwa sana
 
Ungeondoka na ww ......mjifunze kwenda hospital za kawaida hapo ungetumia sio zaid ya elfu arobain tu kwa kila kitu...


We umeenda wapi sijui ona umeibiwa.....
 
Kwa hiyo ile 20,000 ya kumuona Doctor inakuwa kama unalipia kuona sura ya doctor na sauti yake which means akikupa hata panadol ya kushusha homa au painkillers kule chumbani kwake ni additional cost [emoji1495][emoji1495][emoji1495][emoji1495]. Nikienda hapo hospital nitamwambia doctor wala asiniguse maana nimelipia 20,000 kwa ajili ya sura yake kuitazama [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Suala la afya watu tunapigwa sana
Sio kupigwa, hiyo 20,000/= wanaita consultation fee, yani ile kuingia tu na kuongea nae hata ukiongea nae ikaonekana huna tatizo ukaondoka lazima umwachie 20 yake akale bia [emoji23] [emoji23]
 
Sio kupigwa, hiyo 20,000/= wanaita consultation fee, yani ile kuingia tu na kuongea nae hata ukiongea nae ikaonekana huna tatizo ukaondoka lazima umwachie 20 yake akale bia [emoji23] [emoji23]
akanywe bia sio safi sana
 
Tatizo ni kuwa hiyo serikali yenyewe unayoiomba msaada kuwa waliangalie hili ndo wataalamu wa kujipigia madili kama vile 1.5 trilioni.
 
Back
Top Bottom