Angalia vzr
yaan nakumbuka nilikiwa nafanya juu chini nisilare ndani ili wafwe njaaa kumbe ndio kwanza wanatunza maumivu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]siku ya kulala nachezeshwa show kama ile ya TP mazembe kwa simba..Duuuu, Bora kusinzia umesimama
hahahaha mkuu nilikuwa siwajui hawa wadudu zaidi ya kuwasikia tu ila mwaka 2011 ndo niliwafahamu moja ya viumbe wenye roho ngumu hawa nao wapo.Usiombe wakuvamie ndani mwako!
yaan me nimedum nao toka mwaka 2015 hadi 2018, ilifikia hatua nikazoe hiyo hali ya kung'atwa ng'atwa ila kuna rafki yangu alinitembelea maghetto ndipo ndipo akanishauri ninunue dawa, kww kweli kwa ile haibu nikajitoa tu kununua kubishi ndipo ikawa tiba!hahahaha mkuu nilikuwa siwajui hawa wadudu zaidi ya kuwasikia tu ila mwaka 2011 ndo niliwafahamu moja ya viumbe wenye roho ngumu hawa nao wapo.
yaan[emoji41] me mwenyewe nmepost hizo picha huku mwili unanisisimka kweli, kwanza wana harufu mbaya kama tapiko la mtu alievimbirwa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
hawa wadudu waliwahi kunipa tabu sana mwaka 2013 nilipokuwa nasafiri na basi la mohamed trans la dar - bukobamwaka2017 nilimaliza mwezi mzima sijalala ktk kitanda changu, siku ya kulala nakumbuka niliamka na mapele si ya nchi hii.. kwa kweli sitamani tena hawa wadudu wanirudie..!View attachment 1085093View attachment 1085094View attachment 1085095