mgomo wa walimu hauna maelekezo ya kuandamana bana,wameambiwa wabaki hom,watoto wao wanandama sijui ni kwanini bt walimu msiandamane kaeni home mlee familia zenu.na nyie, huu mgomo wa walim au wanafunzi?
Waoga wakubwa mnaacha kuandamana nyie mnawatuma watoto.lol!
Jitokezeni muandamane nyie.
Na nyie, huu mgomo wa walim au wanafunzi?
Waoga wakubwa mnaacha kuandamana nyie mnawatuma watoto.lol!
Jitokezeni muandamane nyie.
Acha upuuzi fikiri kabla ya kuaposti nani mwoga polisi ndo waoga wanaojipendekeza, Nani kawatuma watoto wao ndo wanadai haki zao. sis tumegoma sio kuandamana, tofautisha kuandamana na mgomo hiv nchi hii lini watu mtaelimika kama umeshindwa kutofautisha maandamano na mgomo basi wewe hata hpa jamvini hapakufai kafie mbali uko au na wewe ndo wale diyo afande (polisi)
mamajack jana nimewasikia watoto wanasema walim wametuambia tuandamane.mgomo wa walimu hauna maelekezo ya kuandamana bana,wameambiwa wabaki hom,watoto wao wanandama sijui ni kwanini bt walimu msiandamane kaeni home mlee familia zenu.
Hovyo! mgomo mgomo kwendeni zenu wasanii wakubwa. Mgomo mtagoma nyie?
mamajack jana nimewasikia watoto wanasema walim wametuambia tuandamane.
wanaulizwa mnaandamana nini wanajibu hawajui, manenda wapi? wanajibu hawajui
Sasa hawa wanawatumia wanafunzi vibaya, sijawapenda, wale wanafunzi ni watoto wadogo wanaweza kupotea, kugongwa magari nk.
Mta bwabwaja sana na ubinafis na unafiki wenu hamtafika popote.sio kosa lako hujitambui, wala haki zako huzijui au umetumwa? Wewe ni miongoni mwa watanzania wengi wasiojitambua ambao mmekuwa mtaji mkubwa wa CCM. Hata hivyo sisi tunatangulia mtatukuta mbele
Mgomo wetu walimu ni wa kubaki nyumbani mimi nafikiri wazazi wao ndo haziwatoshi ni kwa nini wanawaambia waende shule. Sisi walimu tumegoma na hatuna haja ya kuwatumia watoto kwanza watoto sisi hatuna ubaya nao. Wazazi ndo wanapaswa kuwa wangalizi wa watoto wao. Acha kutupa lawama walimu ilaumuni serikali ambayo imetufikisha hapa.
Na nyie, huu mgomo wa walim au wanafunzi?
Waoga wakubwa mnaacha kuandamana nyie mnawatuma watoto.lol!
Jitokezeni muandamane nyie.
...Polisi Tanzania ni zaidi uwajuavyo!!....:eek2::eek2:Tatizo la polisi wetu hali zao ni mbaya lakini wanajidai hawaoni.
Wakikamata bangi wanavuta mzigo wote ili kuondoa stress.
Wakikamata gongo wanaigida yote.
Wakikamata unga wana I sniff utadhani wao ndio sniffing dogs.
Kwa mwendo huo unadhani watakuwa na akili timamu?
Ndo maana wanaacha doria na kwenda kucheza disco huku wakiwa na binduki zao
Winners don't do different things,they do differently,waalimu nawasupport 100/1000
.
Mta bwabwaja sana na ubinafis na unafiki wenu hamtafika popote.
Labda wa TZ wengine na si hawa ninao wajua mimi.
Walimu wenyewe kati yenu mpasuko mkubwa. Kwanza wewe jana umefundisha.
huna mpango wowote.lol!
mimi personally na wazazi wangu wameifanyia mengi sana serikali,ila sema tu ndo hivyo viongozi wangu wamekuwa wanafiki na wezi sana.Wewe umeifanyia nini serikali ?