Hivi huyu Aristote anajihusisha na Saluni tu au Danguro lile?

Hivi huyu Aristote anajihusisha na Saluni tu au Danguro lile?

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Huyu jamaa amejizolea umaarufu kwa saluni yake ya kike, ambapo wakina dada na mama wa Dar es Salaam hasa wale maarufu wengi wao wanavutika na kushawishika kwenda kwake. Lakini pamoja na saluni kuwa ya kike, huwezi kukosa wanaume wa kutosha maeneo yanayozunguka saluni hiyo. Yaani ni sawa na kuwe na mzoga sehemu kamwe huwezi kosa ndege wanaozengea na kurandaranda.

Aristote amekuwa pia na tabia ya kupost mauno na makalio ya wanawake wanaoenda saluni kwake ambao huwa wanarekodiwa baada ya kumaliza kusukwa. Je, huyu jamaa nyuma ya hii saluni yake, sio danguro la kimya kimya kweli?
 
Mwanzo nilikua nashangaa inakuaje mtu unaenda kutengeneza nywele halafu unachukuliwa video unachezesha makalio baadae ndio nikang'atwa sikio kua jamaa anajuana na madanga wakubwa wakubwa kwa hiyo wadada wa mjini huenda pale ili warushwe na kuonekana na madanga wajipatie rizki zao.
 
Mwanzo nilikua nashangaa inakuaje mtu unaenda kutengeneza nywele halafu unachukuliwa video unachezesha makalio baadae ndio nikang'atwa sikio kua jamaa anajuana na madanga wakubwa wakubwa kwa hiyo wadada wa mjini huenda pale ili warushwe na kuonekana na madanga wajipatie rizki zao.
Naam, there you are
 
Mwanzo nilikua nashangaa inakuaje mtu unaenda kutengeneza nywele halafu unachukuliwa video unachezesha makalio baadae ndio nikang'atwa sikio kua jamaa anajuana na madanga wakubwa wakubwa kwa hiyo wadada wa mjini huenda pale ili warushwe na kuonekana na madanga wajipatie rizki zao.
Hii ndo ile unaua ndege wawili kwa jiwe moja.
 
Back
Top Bottom