Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
anamheshimu mkewe..Kila mtu anapewa anachostahili.[emoji23][emoji23][emoji23] anajua mabaharia wataruka na mkewe...
Hebu weka picha yake nimuoneHathubutu kufanya hivyo, utasikia tu mke ya Aristotle, na sifa nzurinzuri za kumpamba.
Naam, there you areMwanzo nilikua nashangaa inakuaje mtu unaenda kutengeneza nywele halafu unachukuliwa video unachezesha makalio baadae ndio nikang'atwa sikio kua jamaa anajuana na madanga wakubwa wakubwa kwa hiyo wadada wa mjini huenda pale ili warushwe na kuonekana na madanga wajipatie rizki zao.
Mpaka hapo watu wataendelea kubishaanamheshimu mkewe..Kila mtu anapewa anachostahili.
Hii ndo ile unaua ndege wawili kwa jiwe moja.Mwanzo nilikua nashangaa inakuaje mtu unaenda kutengeneza nywele halafu unachukuliwa video unachezesha makalio baadae ndio nikang'atwa sikio kua jamaa anajuana na madanga wakubwa wakubwa kwa hiyo wadada wa mjini huenda pale ili warushwe na kuonekana na madanga wajipatie rizki zao.
Kweli aiseee,Hii ndo ile unaua ndege wawili kwa jiwe moja.
Weka picha
Weka link ya instagram tukaone.
Hebu weka picha yake nimuone
Wataka kumuona Arist. au mkewe? Hahaha.Hebu weka picha yake nimuone
Mkewe itakuwaWataka kumuona Arist. au mkewe? Hahaha.
HahahaahaaMkewe itakuwa