Hivi huyu Davito ni nani hasa?

naskia anatoka na meneja wa voda...
na mke wa meneja anajua
na kapangiwa nyumba na gari[emoji23][emoji23][emoji23]
Kama mie ndio ningekuwa mke wa huyo meneja hata mshipa wa shingo haunishtuki kabisaaa na kuwa burudani loooh dume zima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…