Hivi huyu DC wa Bunda anaelewa anachofanya kweli?

Hivi huyu DC wa Bunda anaelewa anachofanya kweli?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Yaani watu wamefariki kwa ajali ya mitumbwi Ziwa Victoria huko Bunda Mkoani Mara wakienda Kanisani kumuabudu Mwenyezi Mungu, Mkuu wa Wilaya ya Bunda kaamuru Mchungaji wa Kanisa akamatwe haraka.

Kwanini GENTAMYCINE nimesema huenda huyu DC wa Bunda Dk. Vicent Kichwani mwake hazijakamilika?

Jibu lake lipo katika hii nukuu, "Nimeamuru Jeshi la Polisi likamkamate upesi Mchungaji wa Kanisa ambalo marehemu hawa walikuwa wakienda kusali. Kwanini alikuwa hakagui hiyo mitumbwi ili kuihakikisha kama iko salama kusafirisha waumini wake?

Na kwanini Kanisa lake liwe mbali huko kisiwani na asingelijenga huku Bunda Mjini?" Mkuu wa Wilaya ya Bunda Dk. Vicent Asubuhi hii ya leo akiwa anahojiwa moja kwa moja na Mtangazaji wa Redio ya Magic FM katika Kipindi chao kizuri cha morning magic.

Tafadhali aliye karibu na huyu DC hopeless wa Wilaya ya Bunda Dk. Vicent aniulizie kwake haya maswali yangu kwa niaba;

1. Je, juzi akiwa kama DC ndiyo ilikuwa mara yake ya kwanza kusikia kuwa kuna Kanisa huko Kisiwani?

2. Je, ni jukumu la Mchungaji kuhakikisha usalama wa abiria wa ziwani au ni la Serikali na Mamlaka yake (zake) ndizo zenye Wajibu mkubwa?

3. Je, juzi ajali ilipotokea ndiyo ilikuwa mara ya kwanza kwa DC huyu wa Bunda kujua kuwa kuna wananchi wake wanavuka Maji ya Ziwa Victoria kwenda kuabudu huko ng'ambo?

4. Je, huyu DC angepambana kuiomba Serikali Kuu kupitia kwa Boss wake Rais Samia kuwa kununuliwe kivuko kikubwa isingekuwa tiba kuu ya kuondokana na majanga haya na ajali hizi?

5. Je, huyu DC kusingetokea hii ajali na hali kuendelea kuwa shwari kwa usafirishaji ziwani angekurupuka na maamuzi haya haya ya kutaka Mchungaji akamatwe?

6. Je, tukisema kwake DC kuwa kwa kuamuru kwake kukamatwa kwa Mchungaji wa Kanisa hilo ni kama vile anataka kulazimisha na kuhamishia lawama kwa Mchungaji na Kanisa ili kuilinda Serikali na Idara zake ambazo kwa wenye akili ndiyo tunaona wana makosa/mapungufu?

7. Je, yeye kama DC tena mwenye Doctorate (PhD) yake akijipima anajiona ana akili timamu au hajabarikiwa nazo tokea azaliwe?

Mwisho tu GENTAMYCINE nimuombe Rais Samia kuwa siku zingine akiwa anateua wasaidizi wake wa ngazi mbalimbali awe ananialika Magogoni au Chamwino au Zanzibar ili niwe namsaidia, kwani nimeanza kugundua kuwa kuna wengine ni wajinga (pamoja na Kuvaa kwao suti) na anawateua kimakosa.
 
Huyu mkuu wa wilaya yeye ndiye mzembe namba moja. Ina maana hakujua katika eneo lake kuna wananchi wanatumia usafiri hafifu na hatari kuvuka ng'ambo hivyo basi serikali iwapatie kivuko imara? Sasa huyo mchungaji atajibu nini ikiwa si jukumu lake kuhakikisha waumini wake wanapanda vyombo salama vya usafiri? Kweli kabisa si kila msomi ana akili wengine hawana akili ila wamepewa madaraka
 
Hujasikia kwenye redio mkuu sema tu ndugu zako wamefariki kwa sababu huko ndio unapoishi wewe.

Unakosa rambirambi kwa ufala wako wa kujifanya upo kawe dar kumbe upo kagunguli murutunguru.
 
Mwisho tu GENTAMYCINE nimuombe Rais Samia kuwa siku zingine akiwa anateua wasaidizi wake wa ngazi mbalimbali awe ananialika Magogoni au Chamwino au Zanzibar ili niwe namsaidia, kwani nimeanza kugundua kuwa kuna wengine ni wajinga (pamoja na Kuvaa kwao suti) na anawateua kimakosa.
Mkuu kwani kuvaan suti ndio kuwa na akili? 🤣
mambo mengine nchi hii ni kuupuza tu kwani hawa wateule wa mkuu ni sheedah!
Sijui TISS wanafanya nini kwani kuna wakati hadi ambao "madishi yanayumba" wanapata teuzi!
 
Hujasikia kwenye redio mkuu sema tu ndugu zako wamefariki kwa sababu huko ndio unapoishi wewe.

Unakosa rambirambi kwa ufala wako wa kujifanya upo kawe dar kumbe upo kagunguli murutunguru.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Yaani watu wamefariki kwa ajali ya mitumbwi Ziwa Victoria huko Bunda Mkoani Mara wakienda Kanisani kumuabudu Mwenyezi Mungu, Mkuu wa Wilaya ya Bunda kaamuru Mchungaji wa Kanisa akamatwe haraka.

Kwanini GENTAMYCINE nimesema huenda huyu DC wa Bunda Dk. Vicent Kichwani mwake hazijakamilika?

Jibu lake lipo katika hii nukuu, "Nimeamuru Jeshi la Polisi likamkamate upesi Mchungaji wa Kanisa ambalo marehemu hawa walikuwa wakienda kusali. Kwanini alikuwa hakagui hiyo mitumbwi ili kuihakikisha kama iko salama kusafirisha waumini wake?

Na kwanini Kanisa lake liwe mbali huko kisiwani na asingelijenga huku Bunda Mjini?" Mkuu wa Wilaya ya Bunda Dk. Vicent Asubuhi hii ya leo akiwa anahojiwa moja kwa moja na Mtangazaji wa Redio ya Magic FM katika Kipindi chao kizuri cha morning magic.

Tafadhali aliye karibu na huyu DC hopeless wa Wilaya ya Bunda Dk. Vicent aniulizie kwake haya maswali yangu kwa niaba;

1. Je, juzi akiwa kama DC ndiyo ilikuwa mara yake ya kwanza kusikia kuwa kuna Kanisa huko Kisiwani?

2. Je, ni jukumu la Mchungaji kuhakikisha usalama wa abiria wa ziwani au ni la Serikali na Mamlaka yake (zake) ndizo zenye Wajibu mkubwa?

3. Je, juzi ajali ilipotokea ndiyo ilikuwa mara ya kwanza kwa DC huyu wa Bunda kujua kuwa kuna wananchi wake wanavuka Maji ya Ziwa Victoria kwenda kuabudu huko ng'ambo?

4. Je, huyu DC angepambana kuiomba Serikali Kuu kupitia kwa Boss wake Rais Samia kuwa kununuliwe kivuko kikubwa isingekuwa tiba kuu ya kuondokana na majanga haya na ajali hizi?

5. Je, huyu DC kusingetokea hii ajali na hali kuendelea kuwa shwari kwa usafirishaji ziwani angekurupuka na maamuzi haya haya ya kutaka Mchungaji akamatwe?

6. Je, tukisema kwake DC kuwa kwa kuamuru kwake kukamatwa kwa Mchungaji wa Kanisa hilo ni kama vile anataka kulazimisha na kuhamishia lawama kwa Mchungaji na Kanisa ili kuilinda Serikali na Idara zake ambazo kwa wenye akili ndiyo tunaona wana makosa/mapungufu?

7. Je, yeye kama DC tena mwenye Doctorate (PhD) yake akijipima anajiona ana akili timamu au hajabarikiwa nazo tokea azaliwe?

Mwisho tu GENTAMYCINE nimuombe Rais Samia kuwa siku zingine akiwa anateua wasaidizi wake wa ngazi mbalimbali awe ananialika Magogoni au Chamwino au Zanzibar ili niwe namsaidia, kwani nimeanza kugundua kuwa kuna wengine ni wajinga (pamoja na Kuvaa kwao suti) na anawateua kimakosa.
Mbona kuna kivuko kiliwahi kuzama huko kanda ya ziwa na kuna meli pia nayo ilizama tikiacha ndege ya shujaa Majaliwa.
 
Najiuliza Kwa nini walipo kufa watu kumi na nne ziwa Victoria sio Rais au waziri alitoa pole Kwa wafiwa?

Nauliza hivyo maana tangu mwanzo sikuwai kuwa na Imani na mkuu wa Wilaya tangu siku tukio lilipotokea utajiuliza Kwanini?
Mh DC alipo pigiwa cm ya kuhusu tukio alikili yakuwa kweli limetokea ndani ya nusu SAA alidai yakuwa yupo eneo la tukio na yupo na kamati ya ulinzi na Usalama,
Dakika ya 40 alipigiwa kama wa kikosi cha uokoaji Wilaya ya bunda akakiri kupata taarifa Ila alikuw bado haijafika eneo la tukio.

Swali kamanda wa kikosi cha uokoaji sio mjumbe wa kamati ya ulinzi na Usalama wiyaya ya Bunda?

Linatokeaje tukio la kuzama Kwa wananchi mkuu wa Wilaya ukijua yakuwa unaga uwezo wa kupiga hata mbizi unakimbilia eneo la tukio unawaacha wataalamu walio ajiliwa eneo ILO nyuma?

Haya mambo bhana,nakumbuka Enzi za mwendazake kuna watu aliwateua mathalani makonda na Yule mfungwa aliyesamehewa Sabaya walikuwa wakivamia watu uku wakiwa tumbo mbele na mijitu imeshika bunduki,kitu halijawai hata kushika bastora mkononi lakini linajitokeza kitumbo mbele utadhani likitokea la kutokea limao uwezo wa kuzuia kitu chochote aise.

Niyaache hayo,

Leo mkuu wa Wilaya yalipo tokea maafa akiojiwa na kituo kimoja cha redio ATI ametoa maagizo kiongozi WA kanisa akamatwe?stupid kabisa ukimuuliza Kwa nini anadai Kwa nn alijenga kanisa mbali hivyo?Yessu anataftutwa karbu?uko aliko hakuna makanisa mengine?Sheria za nchi zinachagua wapi ajenge kanisa wapi hasinjenge?

Huyu Bwana bahati nzuri Mimi namjua vyema wakati akiwa Wilaya ya musoma mjini nakumbuka alivyokuwa anaaamisha Aice za wazawa na kupelekwa zake kutoka Arusha yaani jamaa I has nothing in is mind Bas Tu tunashindwa elewa wanao fanya vetting za uteuzi.

Swali Sheria inataka wafe wangapi raisi atoe pole?
 
Yaani watu wamefariki kwa ajali ya mitumbwi Ziwa Victoria huko Bunda Mkoani Mara wakienda Kanisani kumuabudu Mwenyezi Mungu, Mkuu wa Wilaya ya Bunda kaamuru Mchungaji wa Kanisa akamatwe haraka.

Kwanini GENTAMYCINE nimesema huenda huyu DC wa Bunda Dk. Vicent Kichwani mwake hazijakamilika?

Jibu lake lipo katika hii nukuu, "Nimeamuru Jeshi la Polisi likamkamate upesi Mchungaji wa Kanisa ambalo marehemu hawa walikuwa wakienda kusali. Kwanini alikuwa hakagui hiyo mitumbwi ili kuihakikisha kama iko salama kusafirisha waumini wake?

Na kwanini Kanisa lake liwe mbali huko kisiwani na asingelijenga huku Bunda Mjini?" Mkuu wa Wilaya ya Bunda Dk. Vicent Asubuhi hii ya leo akiwa anahojiwa moja kwa moja na Mtangazaji wa Redio ya Magic FM katika Kipindi chao kizuri cha morning magic.

Tafadhali aliye karibu na huyu DC hopeless wa Wilaya ya Bunda Dk. Vicent aniulizie kwake haya maswali yangu kwa niaba;

1. Je, juzi akiwa kama DC ndiyo ilikuwa mara yake ya kwanza kusikia kuwa kuna Kanisa huko Kisiwani?

2. Je, ni jukumu la Mchungaji kuhakikisha usalama wa abiria wa ziwani au ni la Serikali na Mamlaka yake (zake) ndizo zenye Wajibu mkubwa?

3. Je, juzi ajali ilipotokea ndiyo ilikuwa mara ya kwanza kwa DC huyu wa Bunda kujua kuwa kuna wananchi wake wanavuka Maji ya Ziwa Victoria kwenda kuabudu huko ng'ambo?

4. Je, huyu DC angepambana kuiomba Serikali Kuu kupitia kwa Boss wake Rais Samia kuwa kununuliwe kivuko kikubwa isingekuwa tiba kuu ya kuondokana na majanga haya na ajali hizi?

5. Je, huyu DC kusingetokea hii ajali na hali kuendelea kuwa shwari kwa usafirishaji ziwani angekurupuka na maamuzi haya haya ya kutaka Mchungaji akamatwe?

6. Je, tukisema kwake DC kuwa kwa kuamuru kwake kukamatwa kwa Mchungaji wa Kanisa hilo ni kama vile anataka kulazimisha na kuhamishia lawama kwa Mchungaji na Kanisa ili kuilinda Serikali na Idara zake ambazo kwa wenye akili ndiyo tunaona wana makosa/mapungufu?

7. Je, yeye kama DC tena mwenye Doctorate (PhD) yake akijipima anajiona ana akili timamu au hajabarikiwa nazo tokea azaliwe?

Mwisho tu GENTAMYCINE nimuombe Rais Samia kuwa siku zingine akiwa anateua wasaidizi wake wa ngazi mbalimbali awe ananialika Magogoni au Chamwino au Zanzibar ili niwe namsaidia, kwani nimeanza kugundua kuwa kuna wengine ni wajinga (pamoja na Kuvaa kwao suti) na anawateua kimakosa.
Acha siasa mtafutie wakili vinginevyo atafungwa
 
Hujasikia kwenye redio mkuu sema tu ndugu zako wamefariki kwa sababu huko ndio unapoishi wewe.

Unakosa rambirambi kwa ufala wako wa kujifanya upo kawe dar kumbe upo kagunguli murutunguru.
[emoji23][emoji23]
 
Yaani watu wamefariki kwa ajali ya mitumbwi Ziwa Victoria huko Bunda Mkoani Mara wakienda Kanisani kumuabudu Mwenyezi Mungu, Mkuu wa Wilaya ya Bunda kaamuru Mchungaji wa Kanisa akamatwe haraka.

Kwanini GENTAMYCINE nimesema huenda huyu DC wa Bunda Dk. Vicent Kichwani mwake hazijakamilika?

Jibu lake lipo katika hii nukuu, "Nimeamuru Jeshi la Polisi likamkamate upesi Mchungaji wa Kanisa ambalo marehemu hawa walikuwa wakienda kusali. Kwanini alikuwa hakagui hiyo mitumbwi ili kuihakikisha kama iko salama kusafirisha waumini wake?

Na kwanini Kanisa lake liwe mbali huko kisiwani na asingelijenga huku Bunda Mjini?" Mkuu wa Wilaya ya Bunda Dk. Vicent Asubuhi hii ya leo akiwa anahojiwa moja kwa moja na Mtangazaji wa Redio ya Magic FM katika Kipindi chao kizuri cha morning magic.

Tafadhali aliye karibu na huyu DC hopeless wa Wilaya ya Bunda Dk. Vicent aniulizie kwake haya maswali yangu kwa niaba;

1. Je, juzi akiwa kama DC ndiyo ilikuwa mara yake ya kwanza kusikia kuwa kuna Kanisa huko Kisiwani?

2. Je, ni jukumu la Mchungaji kuhakikisha usalama wa abiria wa ziwani au ni la Serikali na Mamlaka yake (zake) ndizo zenye Wajibu mkubwa?

3. Je, juzi ajali ilipotokea ndiyo ilikuwa mara ya kwanza kwa DC huyu wa Bunda kujua kuwa kuna wananchi wake wanavuka Maji ya Ziwa Victoria kwenda kuabudu huko ng'ambo?

4. Je, huyu DC angepambana kuiomba Serikali Kuu kupitia kwa Boss wake Rais Samia kuwa kununuliwe kivuko kikubwa isingekuwa tiba kuu ya kuondokana na majanga haya na ajali hizi?

5. Je, huyu DC kusingetokea hii ajali na hali kuendelea kuwa shwari kwa usafirishaji ziwani angekurupuka na maamuzi haya haya ya kutaka Mchungaji akamatwe?

6. Je, tukisema kwake DC kuwa kwa kuamuru kwake kukamatwa kwa Mchungaji wa Kanisa hilo ni kama vile anataka kulazimisha na kuhamishia lawama kwa Mchungaji na Kanisa ili kuilinda Serikali na Idara zake ambazo kwa wenye akili ndiyo tunaona wana makosa/mapungufu?

7. Je, yeye kama DC tena mwenye Doctorate (PhD) yake akijipima anajiona ana akili timamu au hajabarikiwa nazo tokea azaliwe?

Mwisho tu GENTAMYCINE nimuombe Rais Samia kuwa siku zingine akiwa anateua wasaidizi wake wa ngazi mbalimbali awe ananialika Magogoni au Chamwino au Zanzibar ili niwe namsaidia, kwani nimeanza kugundua kuwa kuna wengine ni wajinga (pamoja na Kuvaa kwao suti) na anawateua kimakosa.
Hivi wewe mbona unataka kunishinda tabia ndio maswali gani haya kwa Dr Vincent? wakati unajua hiyo akili tu ya yeye kuwaza vile haipo, ni maswali magumu mno huo uwezo hana wa kujibu haya maswali ulitakiwa ukaulize vijana wa course ya miezi 6 mbweni wangekujibu
 
Hujasikia kwenye redio mkuu sema tu ndugu zako wamefariki kwa sababu huko ndio unapoishi wewe.

Unakosa rambirambi kwa ufala wako wa kujifanya upo kawe dar kumbe upo kagunguli murutunguru.
......I don't need peace.........
 
Yaani watu wamefariki kwa ajali ya mitumbwi Ziwa Victoria huko Bunda Mkoani Mara wakienda Kanisani kumuabudu Mwenyezi Mungu, Mkuu wa Wilaya ya Bunda kaamuru Mchungaji wa Kanisa akamatwe haraka.

Kwanini GENTAMYCINE nimesema huenda huyu DC wa Bunda Dk. Vicent Kichwani mwake hazijakamilika?

Jibu lake lipo katika hii nukuu, "Nimeamuru Jeshi la Polisi likamkamate upesi Mchungaji wa Kanisa ambalo marehemu hawa walikuwa wakienda kusali. Kwanini alikuwa hakagui hiyo mitumbwi ili kuihakikisha kama iko salama kusafirisha waumini wake?

Na kwanini Kanisa lake liwe mbali huko kisiwani na asingelijenga huku Bunda Mjini?" Mkuu wa Wilaya ya Bunda Dk. Vicent Asubuhi hii ya leo akiwa anahojiwa moja kwa moja na Mtangazaji wa Redio ya Magic FM katika Kipindi chao kizuri cha morning magic.

Tafadhali aliye karibu na huyu DC hopeless wa Wilaya ya Bunda Dk. Vicent aniulizie kwake haya maswali yangu kwa niaba;

1. Je, juzi akiwa kama DC ndiyo ilikuwa mara yake ya kwanza kusikia kuwa kuna Kanisa huko Kisiwani?

2. Je, ni jukumu la Mchungaji kuhakikisha usalama wa abiria wa ziwani au ni la Serikali na Mamlaka yake (zake) ndizo zenye Wajibu mkubwa?

3. Je, juzi ajali ilipotokea ndiyo ilikuwa mara ya kwanza kwa DC huyu wa Bunda kujua kuwa kuna wananchi wake wanavuka Maji ya Ziwa Victoria kwenda kuabudu huko ng'ambo?

4. Je, huyu DC angepambana kuiomba Serikali Kuu kupitia kwa Boss wake Rais Samia kuwa kununuliwe kivuko kikubwa isingekuwa tiba kuu ya kuondokana na majanga haya na ajali hizi?

5. Je, huyu DC kusingetokea hii ajali na hali kuendelea kuwa shwari kwa usafirishaji ziwani angekurupuka na maamuzi haya haya ya kutaka Mchungaji akamatwe?

6. Je, tukisema kwake DC kuwa kwa kuamuru kwake kukamatwa kwa Mchungaji wa Kanisa hilo ni kama vile anataka kulazimisha na kuhamishia lawama kwa Mchungaji na Kanisa ili kuilinda Serikali na Idara zake ambazo kwa wenye akili ndiyo tunaona wana makosa/mapungufu?

7. Je, yeye kama DC tena mwenye Doctorate (PhD) yake akijipima anajiona ana akili timamu au hajabarikiwa nazo tokea azaliwe?

Mwisho tu GENTAMYCINE nimuombe Rais Samia kuwa siku zingine akiwa anateua wasaidizi wake wa ngazi mbalimbali awe ananialika Magogoni au Chamwino au Zanzibar ili niwe namsaidia, kwani nimeanza kugundua kuwa kuna wengine ni wajinga (pamoja na Kuvaa kwao suti) na anawateua kimakosa.
Si kisiwa bali ni maji yameingia kati ya ardhi watu wanaona kuzunguka kwa barabara ni mbali hivyo njia ya mkato ni kuvuka kwa mitumbwi
 
Una uhakika kwa sasa nchi ina rais?
Yuko wapi kwa sasa?
Una hakika kweli anafuatilia mambo ya wananchi wake?
Sukari bei juu, petrol bei juu, machinga wanalia hali ngumu!
Nchi ina rais kweli?
Mimi ninaye mtambua ni rais mmoja tuu wa Yanga kama kuna muhonga bandari za Tanganyika kwa wajomba zake anajihisi kuwa na yeye ni rais anajitekenya tuu.
Yaliyo mkuta Sabaya atayapata hakika.
 
Yaani watu wamefariki kwa ajali ya mitumbwi Ziwa Victoria huko Bunda Mkoani Mara wakienda Kanisani kumuabudu Mwenyezi Mungu, Mkuu wa Wilaya ya Bunda kaamuru Mchungaji wa Kanisa akamatwe haraka.

Kwanini GENTAMYCINE nimesema huenda huyu DC wa Bunda Dk. Vicent Kichwani mwake hazijakamilika?

Jibu lake lipo katika hii nukuu, "Nimeamuru Jeshi la Polisi likamkamate upesi Mchungaji wa Kanisa ambalo marehemu hawa walikuwa wakienda kusali. Kwanini alikuwa hakagui hiyo mitumbwi ili kuihakikisha kama iko salama kusafirisha waumini wake?

Na kwanini Kanisa lake liwe mbali huko kisiwani na asingelijenga huku Bunda Mjini?" Mkuu wa Wilaya ya Bunda Dk. Vicent Asubuhi hii ya leo akiwa anahojiwa moja kwa moja na Mtangazaji wa Redio ya Magic FM katika Kipindi chao kizuri cha morning magic.

Tafadhali aliye karibu na huyu DC hopeless wa Wilaya ya Bunda Dk. Vicent aniulizie kwake haya maswali yangu kwa niaba;

1. Je, juzi akiwa kama DC ndiyo ilikuwa mara yake ya kwanza kusikia kuwa kuna Kanisa huko Kisiwani?

2. Je, ni jukumu la Mchungaji kuhakikisha usalama wa abiria wa ziwani au ni la Serikali na Mamlaka yake (zake) ndizo zenye Wajibu mkubwa?

3. Je, juzi ajali ilipotokea ndiyo ilikuwa mara ya kwanza kwa DC huyu wa Bunda kujua kuwa kuna wananchi wake wanavuka Maji ya Ziwa Victoria kwenda kuabudu huko ng'ambo?

4. Je, huyu DC angepambana kuiomba Serikali Kuu kupitia kwa Boss wake Rais Samia kuwa kununuliwe kivuko kikubwa isingekuwa tiba kuu ya kuondokana na majanga haya na ajali hizi?

5. Je, huyu DC kusingetokea hii ajali na hali kuendelea kuwa shwari kwa usafirishaji ziwani angekurupuka na maamuzi haya haya ya kutaka Mchungaji akamatwe?

6. Je, tukisema kwake DC kuwa kwa kuamuru kwake kukamatwa kwa Mchungaji wa Kanisa hilo ni kama vile anataka kulazimisha na kuhamishia lawama kwa Mchungaji na Kanisa ili kuilinda Serikali na Idara zake ambazo kwa wenye akili ndiyo tunaona wana makosa/mapungufu?

7. Je, yeye kama DC tena mwenye Doctorate (PhD) yake akijipima anajiona ana akili timamu au hajabarikiwa nazo tokea azaliwe?

Mwisho tu GENTAMYCINE nimuombe Rais Samia kuwa siku zingine akiwa anateua wasaidizi wake wa ngazi mbalimbali awe ananialika Magogoni au Chamwino au Zanzibar ili niwe namsaidia, kwani nimeanza kugundua kuwa kuna wengine ni wajinga (pamoja na Kuvaa kwao suti) na anawateua kimakosa.
PHD ni makaratasi tu Gentamycine hamnazo huyo akili yake ni kujipendekeza tu elimu yake haimsaidii
 
Hujasikia kwenye redio mkuu sema tu ndugu zako wamefariki kwa sababu huko ndio unapoishi wewe.

Unakosa rambirambi kwa ufala wako wa kujifanya upo kawe dar kumbe upo kagunguli murutunguru.
Fambaf wewe, unaingiza utani wa kijanga kwa hoja muhimu
 
Back
Top Bottom