Hivi huyu jamaa yukoje?

Fortunatus Buyobe

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2011
Posts
463
Reaction score
1,127
https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=264964&stc=1&d=1435767171
 

Attachments

  • Screenshot_2015-07-01-19-10-15.png
    115.9 KB · Views: 918
Le BIG show,le baharia,super gadem billionea,akili kubwa,king of all bongo social networks ha ha ha ha kufwa for him!

mazafantazzz!! teh teh teh!
 
Kwani amevunja Sheria gani.?
 
hayo mambo anayoyafanya ni ya miaka ileeee!!! ameenda hapo kunywa maji tu,tena madogo,anavizia wenye nafasi zao wakiingia akapige picha nao,apost instagram, misheni town,ngapulila
 
na hapo ana umri wa miaka 58 na ametelekeza mke na watoto
 
Sijaona tatizo hapo........
 
Sasa mkuu unataka tujadili nini hapa! Na wewe unaonekana ni miongoni mwa followers wake huko ulikoitoa hii picha. Kama vipi kamxiuuu huko huko
 
Mmh unatafuta ugomvi na le superstar. Atakuja kukujibu zikifika 10 pages
 
Anafanya yake Le Mutuz..... Ha ha haaaaaaa you know I love it..... Ruttashobolwa my brother you know hawa mburulaaaazzzzz wanamfatilia king of all social media
 
Last edited by a moderator:
hayo mambo anayoyafanya ni ya miaka ileeee!!! ameenda hapo kunywa maji tu,tena madogo,anavizia wenye nafasi zao wakiingia akapige picha nao,apost instagram, misheni town,ngapulila

ulitaka afanye nini kwani kavunja sheria ni ujinga kumfwatilia mwanaume mwenzio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…