prosper cliff
JF-Expert Member
- Jan 19, 2017
- 661
- 695
Jamani wanajamvi kuna member mmoja hum JF aliwahi leta uzi wa utabiri wa Tz 2015 rais Atakuwa Dicteta huyo jamaa ni Magamba matatu sijui jamaa yupo wapi kwa anayejua atujuze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mpaka sasa hakuna member wa jf aliekufa kwa corona.Duh...!. Ila it's good kumuulizia member ukiona kimya, maana Corona inakula vichwa kama kinyozi!.
P
Au ndyo yule tushikaki kampuni za simu???Jamaa yuko na Uzi mwingine akifuatilia kesi waliyoifungua kwenye kampuni yao.nenda kwenye profile yake utamkuta .