Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chawa wapo kila sehemu sema tu wanatofautiana majina kutokana na sehemu wanakopatikana.Najiuliza sana maana kila alipo lazima na yeye atakuwepoView attachment 3059578
Jibu swali mzee. We vipi unakuwa kama *sengeAcha kudandia gari kwa mbele
We jamaa una majibu Kama ya huyo jamaa kwenye DP yako😊Jibu swali mzee. We vipi unakuwa kama *senge
Yangu machomawakili watakuwa wapumbavu kuruhusu mwabukusi kuwa kiongozi wa chama cha kitaaluma kama TLS
Mwabukusi siyo mwanataaluma?mawakili watakuwa wapumbavu kuruhusu mwabukusi kuwa kiongozi wa chama cha kitaaluma kama TLS
Mkuuu Mbona hata wewe unaweza kwendaa mkuuuu ,kumbukumbu tuu huyu jamaaaa ameshawai kuwa na kesi nyingi naaa amesimamiwa kesi zake na Wakili Mwabukusu so kuwa hapo ni sehemu tuu ya kumuunga mkona wakili wakee ,
Huyo ni mdau
Yule bwana ni mwehu na ana tatizo la afya ya akiliMwabukusi siyo mwanataaluma?
Ni mume wako hadi uhoji!
Kabisamawakili watakuwa wapumbavu kuruhusu mwabukusi kuwa kiongozi wa chama cha kitaaluma kama TLS
Hujajibu swali, Mwabukusi ni mwanataaluma au siyo mwanataaluma?Yule bwana ni mwehu na ana tatizo la afya ya akili
Kama watanzania walivyokuwa wapumbavu kuruhusu marahemu awe raisi wa JMTmawakili watakuwa wapumbavu kuruhusu mwabukusi kuwa kiongozi wa chama cha kitaaluma kama TLS
Punguza makasiriko, maisha si magumu sanaYule bwana ni mwehu na ana tatizo la afya ya akili
Tatizo ni chama changu pendwa kutaka kuweka pandikizi lao, Mwabukusi ni mtu sahihi wa kutuhenyesha kwa miaka mitatu. Yule suupiiika anafanya kila namna Mwabukusi aangukie pua, kwani kwake haitokuwa habari njema hata kidogo.Kabisa