Hivi huyu kijana wa CHADEMA ni msaidizi wa Mwabukusi? Ameenda Dodoma kama nani wakati sio wakili?

Najiuliza sana maana kila alipo lazima na yeye atakuwepo

View attachment 3059578
Mkuuu Mbona hata wewe unaweza kwendaa mkuuuu ,kumbukumbu tuu huyu jamaaaa ameshawai kuwa na kesi nyingi naaa amesimamiwa kesi zake na Wakili Mwabukusu so kuwa hapo ni sehemu tuu ya kumuunga mkona wakili wakee ,

Mfano Lowasa alipofariki yupo mama alisafiri kutoka Shinyanga hadi msibani kwa kusema amesadiwa kusomesha watoto na Lowasa so just to support mtu wako na kuappriciate kazi yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…