Hivi kwanini asijitoe kwenye hizo tunzo hili tusiangaike kumuuliza na kumpigia kura?Kuna siri kubwa sana ambayo imejificha kuhusu hizi tuzo , lady jaydee anajua ila hakupaswa kuonyesha hizo hisia zake mbele ya mashabiki ambao hatuna hatia
haka ka bishosti huwa nakashangaa sana. Sijui hii jeuri kanaitoaga wapi'
Orodha ya wasanii watakaoshiriki
kwenye Kili Music Tour 2014 imetangazwa leo. Mwaka huu zaidi ya wasanii 30 watashiriki katika ziara hiyo kwenye mikoa zaidi ya 10 nchini itakayoanza Mei hadi Septemba 2014. Wasanii hao ni pamoja na Diamond, Ommy Dimpoz, Linex, Proffesor Jay, Izzo Biznes, Kala Jeremiah, Fid Q, Snura, Weusi, Ben Pol, Mzee Yusuph, Shilole na Mwasiti.
Wengine ni Nay wa Mitego, Mwana FA, Khadija Kopa, Juma Nature, Warriors From the East, Madee, Young Killer, Jambo Squad, AY,
Vanessa Mdee, Mashujaa Band, Rich Mavoko na Christian Bella.
Hata hivyo Lady Jaydee aliyekuwepo kwenye ziara hiyo mwaka jana, ameondolewa mwaka huu.
Chanzo kimoja kimeiambia Mpekuzi kuwa sababu ya kuondolewa ni ile tweet ya dharau aliyoiandika Lady Jaydee kuhusu kutokufahamu kama tuzo hizo zilifanyika. Chanzo hicho kimesema pia kuwa Roma alikuwa awepo kwenye ziara hiyo lakini ujuaji wake umemfanya apigwe chini.
Hivi kwanini asijitoe kwenye hizo tunzo hili tusiangaike kumuuliza na kumpigia kura?
Pia kwanini mashabiki wana mtetea hata kwenye hili?
Hivi kwanini aonekane malaika? Hivi atajuaje ana kosea kama asipo ambiwa?
Mashabiki ndo waliomchagua na mashabik ndo waliompigia kura akashinda , ukweli utabaki kuwa jide ndio msanii bora wa kike Tanzania , japokuwa siku izi analewa sana sifa
Give her a benefit of doubt! Kwanini iwe issue saaana! Kwani ni lazima awemo Mwaka huu?
Mwachni Jidee wetu bana nyie mnaoshabikia akina Ruge endeleeni...
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Kwanini una mhusisha Ruge kwenye matatizo binafsi ya Jide?
ukiskia watu wanasema Ruge,awamaanishi mtu mmoja saa zote...kuna ki-network flan kinamaanishwa kuanzia kwny sponsors uko
Mimi si mshabiki kipofu.
Siwezi kunyamaza kisa ni mshabiki wa mtu fulani basi akikosea nisisiseme.
Ana Attitude Issues....Insecured........unhappy....
Sisemi kwa ubaya ila she needs to balance and work on her emotional intelligence.....and put her shits together!
She is a good artist and hardworker tho' BUT
Jide is not 'psychologically' fit....
I know what i know!
Kule tick mkuu, nimeipenda hiii
Asante mkuu kwa kuleta nukuu ambayo itanogesha mjadala.
Cc DEMBA qn of sheba matumbo Master Legendary
warumi.
AiseeeeHakuna kitu cha maana unachokifanya hapo mkuu. 😕
huyu dada hata sura hana maskini!!...yaani angekuwa hana hivyo visenti sijui angekuwaje!!...havutii hata kwa kulazimisha!...sijui anachoringia ni nini!
huyu dada hata sura hana maskini!!...yaani angekuwa hana hivyo visenti sijui angekuwaje!!...havutii hata kwa kulazimisha!...sijui anachoringia ni nini!
kwani lini alijiunga?
qn of sheba Tatizo langu na Jide si sababu za kuto kujumuhishwa kwenye kili tour na hilo wala halnisumbui kabisa maana si kila msanii ataperfom na si lazima Jide awepo. Na sidhani kama kuto kuja kwenye tunzo ndio sababu za kutokuwekwa na wala sijali husisha kabisa.Kukumbusha tu kwenye maktaba yetu mwaka 2008 pia Gadner alimchukulia tuzo na kusema anamchukulia rafiki yake.
My take Rutta issue ya Tuzo na issue ya kutokuwepo kwenye killi tour mwaka huu ni mbili tofauti.
So hapa mnahoji kutokuhudhuria kili awards ambazo miaka zaid ya 7 haudhurii.. Kama Kili wamemtoa kwenye tour kwa kutohudhuria mbona mwaka jana alikuwepo ingawa kwenye tuzo hakwenda tangu 2008... Kili tour sio lazima ushiriki kila mwaka kwanza kila mtu anamajukumu yake, mbona Rama Dee mwaka jana alishinda na hakuwepo kwenye tour... Simply becoz anamishe na life yake huko Australia so Jide naye wamuache na life yake kule Temboni Kimara.
Mna chochea sana chuki.ukiskia watu wanasema Ruge,awamaanishi mtu mmoja saa zote...kuna ki-network flan kinamaanishwa kuanzia kwny sponsors uko
Ukiona msanii kashirikishwa kwenye kuwania tunzo ujue kakubali na ambao hawataki huwa wana jitoa na kusema wazi.kwani lini alijiunga?