Hivi huyu kweli alikuwa ni mchezaji wa Simba au ni Photoshop?

Hivi huyu kweli alikuwa ni mchezaji wa Simba au ni Photoshop?

babu M

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2010
Posts
5,222
Reaction score
3,173
Wanasema huyu alikuwa ni mchezaji wa zamani wa Simba au wametengeneza?

Hapa mimi namwona msaani wa Bongofleva!

Screenshot_20220704-125108.png
 
Nadhani ni mfanano tu wa Mondi na mtu tajwa hapo juu, au ukifuatilia ukute ndiye baba halisi wa msanii.

Fuatilia vizuri,huyo siyo Nyange huyo?
 
mfanano uliosababishwa na kuzoom picha,hautatumika kama kielelezo sahihi.
 
Waliosema mtoto ni wa mama hawakukosea. Hapo ulipo hata ufungiwe chumban na mwanamke siku 30 ashike mimba.

Unajua kabisa ndiyo ulisababisha ila mwanamke akikuambia siyo yako utaamini 99%.

Na mimwenyewe nilitaka kusema
 
Abdallah Mwinyimkuu, nipo tayari kusahihishwa na wahenga wenzangu.
Huyu alikua mchezaji wa Simba akiitwa Abdallah Mwinyimkuu aka Abdallah Pele, alijiunga na Simba akitokea timu ya Shycom ya Shinyanga yeye na Lukas Nkondola-rip. Ikumbukwe wakati huo pia kuna wachezaji Ismail Aden Rage na Hassan Sakulu nao walikua Simba wakitokea timu hio hio ya ShyCom. Hawa jamaa wote ni wazaliwa wa Tabora.
 
Huyu alikua mchezaji wa Simba akiitwa Abdallah Mwinyimkuu aka Abdallah Pele, alijiunga na Simba akitokea timu ya Shycom ya Shinyanga yeye na Lukas Nkondola-rip. Ikumbukwe wakati huo pia kuna wachezaji Ismail Aden Rage na Hassan Sakulu nao walikua Simba wakitokea timu hio hio ya ShyCom. Hawa jamaa wote ni wazaliwa wa Tabora.
Ahasante Mkuu kwa taarifa...hili jina ni kati ya Majina maarufu sana yaliyonikaa kichwani ya Wachezaji wa Simba wa enzi hizo.

Ni ajabu hao uliowataja nae sikuwasikia kwa ukubwa ule, pia kuna Lila Shomari n.k.
 
Ahasante Mkuu kwa taarifa...hili jina ni kati ya Majina maarufu sana yaliyonikaa kichwani ya Wachezaji wa Simba wa enzi hizo.

Ni ajabu hao uliowataja nae sikuwasikia kwa ukubwa ule, pia kuna Lila Shomari n.k.
Hao wengine hata mie sikuwaona ila niliwasikia tu nikiwa huko Shy. Ila Abdallah Pele Mwinyimkuu nilimuona akiwa nahodha wa ShyCom kabla hajaenda Simba. Rage na hao wengine ni story toka kwa mzee maana alicheza nao mpira ShyCom.
 
Back
Top Bottom