Hivi huyu mchora katuni ndo yule aliyekula kibano police oysterbay?

Hivi huyu mchora katuni ndo yule aliyekula kibano police oysterbay?

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Naona karudi kwa kasi kudhalilisha wapinzani, maana aliingia anga za kibabe akatulizwa kibabe pia, au siyo yeye huyu?

katuni .jpg
FArwnQSWYAcpXYf.jpg
 
Freddy ni zao la Kipilimba anakula pesa za bure za wasiojulika , huwezi kuta kachora kibonzo kuikosoa serikali iliyopo madarakani.

Ukifuatilia vibonzo vyake 75% utakutana kamchora Mbowe akiwa kashika konyagi, ni miongoni kwa vijana ambao hawana maadili kabisa hivyo ni wa kupuuza na vibonzo vyake.
 
Back
Top Bottom