Hivi huyu mchora katuni ndo yule aliyekula kibano police oysterbay?

Freddy ni zao la Kipilimba anakula pesa za bure za wasiojulika , huwezi kuta kachora kibonzo kuikosoa serikali iliyopo madarakani.

Ukifuatilia vibonzo vyake 75% utakutana kamchora Mbowe akiwa kashika konyagi, ni miongoni kwa vijana ambao hawana maadili kabisa hivyo ni wa kupuuza na vibonzo vyake.
 
kwani walishindwa kuhide id zao kama kina kigogo .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…