MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Na kama ni Yeye je, kabla ya ile Segment yao ya Magazeti Kuanza pale Wasafi FM kila Asubuhi huwa Kwanza anavuta Bange au huwa anakunywa labda Gongo kidogo?
Simzungumzii Mtangazaji Mwenzake wa Usomaji Magazeti Hillary Daud ( Zembwela ) kwakuwa tangia alipokuwa Comedian na Marehemu Max nilijua kuwa huwa Kichwani mwake anakaribisha Moshi wa Mmea fulani hivyo kwa ile Fujo aifanyayo pale Studio na yale Makelele Kero yake wala simshangai.
Orest Kawau umebadilika sana Ndugu.
Simzungumzii Mtangazaji Mwenzake wa Usomaji Magazeti Hillary Daud ( Zembwela ) kwakuwa tangia alipokuwa Comedian na Marehemu Max nilijua kuwa huwa Kichwani mwake anakaribisha Moshi wa Mmea fulani hivyo kwa ile Fujo aifanyayo pale Studio na yale Makelele Kero yake wala simshangai.
Orest Kawau umebadilika sana Ndugu.