Hivi huyu Mtangazaji Orest Kawau niliyemjua akiwa Smart alipokuwa Magic FM ndiyo huyu wa ovyo aliyeko Wasafi FM sasa?

Hivi huyu Mtangazaji Orest Kawau niliyemjua akiwa Smart alipokuwa Magic FM ndiyo huyu wa ovyo aliyeko Wasafi FM sasa?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Na kama ni Yeye je, kabla ya ile Segment yao ya Magazeti Kuanza pale Wasafi FM kila Asubuhi huwa Kwanza anavuta Bange au huwa anakunywa labda Gongo kidogo?

Simzungumzii Mtangazaji Mwenzake wa Usomaji Magazeti Hillary Daud ( Zembwela ) kwakuwa tangia alipokuwa Comedian na Marehemu Max nilijua kuwa huwa Kichwani mwake anakaribisha Moshi wa Mmea fulani hivyo kwa ile Fujo aifanyayo pale Studio na yale Makelele Kero yake wala simshangai.

Orest Kawau umebadilika sana Ndugu.

1644571136574.png

 
Na kama ni Yeye je, kabla ya ile Segment yao ya Magazeti Kuanza pale Wasafi FM kila Asubuhi huwa Kwanza anavuta Bange au huwa anakunywa labda Gongo kidogo?

Simzungumzii Mtangazaji Mwenzake wa Usomaji Magazeti Hillary Daud ( Zembwela ) kwakuwa tangia alipokuwa Comedian na Marehemu Max nilijua kuwa huwa Kichwani mwake anakaribisha Moshi wa Mmea fulani hivyo kwa ile Fujo aifanyayo pale Studio na yale Makelele Kero yake wala simshangai.

Orest Kawau umebadilika sana Ndugu.
Ndiyo kakuwa kitaaluma zaidi maana wasafi bila kujichetua hutoki
 
Genta bwana. Mtu yeyote anabadilika kutokana na office. Moja ya kanuni ya kazi ni"know the culture of your company Yani lazima ujue utamaduni wa ofisi na uweze kuendana nao
 
Bado ni smart, vile sasa wasafi watangazaji ni wengi sana kwenye kipindi kimoja, kwahiyo bila kupiga kelele hutasikika
 
Kule usipojitoa ufahamu unafukuzwa kazi


Wasafi,clouds fm na efm hizi ni media za burudani na mahususi kwa vijana zipo tofauti na TBC 1 au ITV hata uwendeshwaji wake upo kitofauti kwa kulenga vijana Zaidi ukilijua hili mtoa mada pamoja na wewe msingekuwa na mawazo hayo mlionayo hivi vitu mnavyobeza ndio zinazofanya wawe na wasikilizaji wengi kuliko TBC1
 
Back
Top Bottom