Hivi huyu mwenzetu bujibuji anawazaga nini?

Sumbalawinyo

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2009
Posts
1,282
Reaction score
248
Mhindi akinistress basi huingia JF. Kuna list ya watu ambao huwa nayapitia maandishi yao ili kidogo kunifurahisha na kunifanya nirudi duniani. Miongoni mwa watu hao ni huyu bujibuji.
Hebu naomba usome hii link hapa chini halafu unisaidie majibu kuwa bujibuji anawagaje.

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/97325-anataka-kuupamba-mti-wangu-xmas-eve.html
 
Anawazaga nini au anawazaga kwa kutumia nini?
 
Shabashhhhh................
Mnaacha kumjadili mbunge wa mtera, mko busy na bujibuji.
Hebu ngoja niendelee kujisikilizia weee riziwani, ongea na mshua
 
ana mke mpya,
mwacheni mwenzenu bado yuko kwenye fungate.
 
bujibuji kawa makabila mengine kama vile kwa TaMuganyizi na Rweye ni UJIUJI kwa maana hiyo ujiuji ni laini laini ndo Majibu ya BujiBuji yalivyo.
 
kufanya kwanza na waindi ni full stress aisee!
Kweli unahitaji kupata tulizo hapa jf!
 
Buji is too much, utake usitake lazima utacheka.
Hiyo avatar yangu inaitwa spirit of bringing joy to the ♥ heart brokens.
 
Usema kweli hata mi namfagilia sana Bujibuji...
kheshma yako mkuu..
 
Onyo Bujibuji acha tabia ya kujipaisha kwa kuanzisha post na kujijibu
 
Onyo Bujibuji acha tabia ya kujipaisha kwa kuanzisha post na kujijibu

una mapepo?
Nafuata maandiko, nyenyekeeni chini ya mkono ulio hodari ili awakweze kwa wakati wake.
Kila siku zinaanzishwa thread hapa, wengi wananifanananisha na rev, excellent, na wengine wengi. Lakini bujibuji ni buji wala sina haja ya kujipaisha. Jf hainipi kula wala nafuu ya maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…