Kaka Mkubwa
Senior Member
- Oct 10, 2008
- 154
- 10
Kaka kuona ...kaka kuona!
Jamani kaka kuona ni mnyama wa aina gani, na ana sifa gani?
Haya tunayoyasikia kuhusu kaka kuona ni kweli.
mweh hata sijui sifa za wanyama
labda Fidel80 akija atakujibu
Makubwa haya...Fidel anawajulia sana Wanyama!...
Mi nilijua mtaalamu ni Rafiki yangu mmoja anaitwa MziziMkavu!
IPTL IPTL ,DOWANI ,RICHIMOND,tanesco mgao ..UFISADI,EPA,
nchi nzuriii Tanzania karibuni wasio kwao wenye shida nataabu kukimbizwa na walowezi ..tanzania yawakatibisha ,,,,,,eeehh