Hivi huyu Sabaya si ndiyo alijifanya 'Mjanja' na 'atatoka' tu, sasa hivi anaomba "poo' ya nini?

Hivi huyu Sabaya si ndiyo alijifanya 'Mjanja' na 'atatoka' tu, sasa hivi anaomba "poo' ya nini?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mwambieni aanze sasa Kuyazoea Maisha ya Jela kwani alidhani alivyoipangua ile ya Kwanza ndiyo atazipangua zote?

Halafu mwambieni kinachomponza hata asisaidiwe na waliom 'fix' huko ni Kauli zake kuwa akiachiwa Huru tu atakuja Kukinukisha ( yaani Kuchafuwa Hali ya Hewa siyo ya Kujamba ) kwa Malkia Mmoja wa Marekani, Dar es Salaam, Dodoma na Zanzibar.

Akipona na Kuzipangua Kesi zote nahamia rasmi Kwao akina Fiston GENTAMYCINE Mayele ili niwe 'natetema' nae vizuri na nijifunze Mashuti mazuri yaliyoenda Shule ya Feisal GENTAMYCINE Toto.
 
Hivi si yupo uraiani si auze vitu vyake asepe hata sudan nani atamtafuta huko
 
Manyapara wa Kisongo yanapeleka moto sio poa, kwa huruma tu wamemhamisha kijanja.
 
Mwambieni aanze sasa Kuyazoea Maisha ya Jela kwani alidhani alivyoipangua ile ya Kwanza ndiyo atazipangua zote?

Halafu mwambieni kinachomponza hata asisaidiwe na waliom 'fix' huko ni Kauli zake kuwa akiachiwa Huru tu atakuja Kukinukisha ( yaani Kuchafuwa Hali ya Hewa siyo ya Kujamba ) kwa Malkia Mmoja wa Marekani, Dar es Salaam, Dodoma na Zanzibar.

Akipona na Kuzipangua Kesi zote nahamia rasmi Kwao akina Fiston GENTAMYCINE Mayele ili niwe 'natetema' nae vizuri na nijifunze Mashuti mazuri yaliyoenda Shule ya Feisal GENTAMYCINE Toto.
ila wewe jamaa nmejikuta nacheka tu
 
Mwambieni aanze sasa Kuyazoea Maisha ya Jela kwani alidhani alivyoipangua ile ya Kwanza ndiyo atazipangua zote?

Halafu mwambieni kinachomponza hata asisaidiwe na waliom 'fix' huko ni Kauli zake kuwa akiachiwa Huru tu atakuja Kukinukisha ( yaani Kuchafuwa Hali ya Hewa siyo ya Kujamba ) kwa Malkia Mmoja wa Marekani, Dar es Salaam, Dodoma na Zanzibar.

Akipona na Kuzipangua Kesi zote nahamia rasmi Kwao akina Fiston GENTAMYCINE Mayele ili niwe 'natetema' nae vizuri na nijifunze Mashuti mazuri yaliyoenda Shule ya Feisal GENTAMYCINE Toto.
Machozi aliyolia siku ile yalikuwa na maana kubwa sana , kwa mwanaume kulia siyo rahisi kihivyo
 
Back
Top Bottom